Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,020
- 454,035
Jamani jamaniNa mimi nimepata wa kunidaka chozi!
Jamani jamaniNa mimi nimepata wa kunidaka chozi!
KabisaaaKuolewa bila kufuata taratibu za ndoa lazima uharibu
HahahhahaHahaha hahaha
Kakwepa hiyo mkuu tuu
Jamani jamaniiBasi nimebadili mawazo kwasababu yule anasuasua ngoja niingie front mwenyewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui walaHahahhaha
Kwa nn kakwepa
Mkuu zawadi nyengine huniagiza mwenyewe lakini kupokea yy ni mwiko cjui anahisi vipiKama unataka kupokewa jaribu kununua vitu anvyovipenda mke wako
Nimekumiss pia Shunie,majukumu tu yamenibana kidogoWoyooooo mzima mm jamani mdaka chozi wa auntie yangu nimekumiss tu nani alikuteka eti
Mdaka chozi na yeye anadakwa choziSema kweli we mdaka chozi
Pole mno jamani tumekumiss tuNimekumiss pia Shunie,majukumu tu yamenibana kidogo
Mdaka chozi na yeye anadakwa chozi
@espyMdaka chozi na yeye anadakwa chozi
Na huu ni mwanzo tu, akiendelea Ana hii tabia mbeleni huko nikishakuwa nakauwezo naowa mke pili na mm nipate ile raha ya kupokea maana naisikia tu kwa wenzangu
Mdaka chozi kakuwa romantic eeehhhh, venye anajibu ni kama kuna mtu anamuandikiaPole mno jamani tumekumiss tu
Au nimekosea jirani???Nyama kilo nzima ungeiacha yote bila kuchukua hata nusu tu??Hahhahahhahaha
Mdaka chozi kaibiwa akili za kuibiwa hizo ujueMdaka chozi kakuwa romantic eeehhhh, venye anajibu ni kama kuna mtu anamuandikia
Hahahhaha hasira ujue alifanya jiraniAu nimekosea jirani???Nyama kilo nzima ungeiacha yote bila kuchukua hata nusu tu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweli!Umefanya vizuri
Huyu mke mm nilionyeshwa nikaenda kwao direct nikakutanishwa nae faster nikachukuwa jiko, hatukuwa na zile issue za kutest mitamboAmemuambia wakati gani, wakiwa wachumba au akiwa tayari mke!
Kuna vitu vidogo tunavyopuuzia wakati wa uchumba ambavyo vinatugharimu tukiwa kwenye ndoa!
Imagine mke hampokei mume, unadhani ataweza kumwambia pole?!
Hahaha hasira hasara,tena usikute alikuwa makini sana huko buchani kuchagua nyama nzuri yenye stake za kutosha.Hahahhaha hasira ujue alifanya jirani