Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpka aambiwe hajui wajibu wake kama mkeHiyo tabia ya mwanamke kukaa barazani nayo sio nzuri! Hao wanawake wangekuwa wema wangemwambia kampokee mumeo!
Kabisaaa....itabidi tujipange kuleta mahari sasa,wewe unafaa kuwa mkeHiyo tabia ya mwanamke kukaa barazani nayo sio nzuri! Hao wanawake wangekuwa wema wangemwambia kampokee mumeo!
Kwavile sie ni roborts msijali, tutawapa tu hata tukiwa ICU.Ni ngumu kumuambia na kitu ambacho wanawake hawajui ni kuwa hata mume wako akuudhi vipi haitakiwi umnyime unyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tenaSawa mkuu
Wanaume bwana, kama walemavu.
Aliempata asimuachie.Nimemmiss jamani
Hahaha hahaha hahahamkuu tena
Sijui analidaka chozi gani refu hivyo!! Au ndio kapata wa kumpokeaHahaha hahaha hahaha
Nimecheka mnooo jamaniii, mdaka chozi yuko wapi eti! Usiniambie kapotea!
Haiwezekani ebu tumtafuteAliempata asimuachie.
Hahaha hahahaKabisaaa....itabidi tujipange kuleta mahari sasa,wewe unafaa kuwa mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahaha ulivyomwita mkuu naona kakimbiaHahaha hahaha hahaha
Huku ni MMU
Kuna kutembeleana dada, akija kwako hata na kabahasha kake ka kazini unapokea unaweka mezani!Wachumba hawaishi pamoja dada. Utazijua tabia za mtu pale mtakapoanza kuishi pamoja rasmi. Uchumba Raha sana kila mtu pretender
Huyo jrani kibokoo yan kapokea kapeleka kwake? tarajia kutunukiwa papuchi hapo!Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote mke wangu hajawahi kunipokea na nishamwambia kuwa mm huwa napenda japo kuonyesha tu nia ya kunipokea ila wapi hataki. Sasa jana nimerudi zangu nje nakuja home na kafuko cha kilo ya nyama my wife kakaa nje na jirani zetu nafika ata kuinuka, kwa bahati jirani kanitania "nikupokee" aaaah mm nimeona hapa hapa ndipo pakumfunza wife nimempa jirani kifuko cha nyama, ikabidi jana tule bila mboga japo na yeye ucku kaninyima nyama yake lakini naamini itakuwa funzo.
Wanawake wa kudownload mdogo wanguuMpka aambiwe hajui wajibu wake kama mke
Yanakuja mamiii.....subiri aje hapa tupange hahahahaHahaha hahaha
Hayo mahari uyalete upesi
Atakuwa kapata wa kumpokea jamanii, na hivyo wewe hujui kupokea mtu!!Sijui analidaka chozi gani refu hivyo!! Au ndio kapata wa kumpokea