Sakayo unachotetea ni nini hasa?!!Amemuambia wakati gani, wakiwa wachumba au akiwa tayari mke!
Kuna vitu vidogo tunavyopuuzia wakati wa uchumba ambavyo vinatugharimu tukiwa kwenye ndoa!
Imagine mke hampokei mume, unadhani ataweza kumwambia pole?!
umekaa kibarazani umechoka nn sasa?Sio ujeuri ila aufikishe tu ndani apumzike maana hata nami nimechoka sana kwa shughuli za kutwa nzima.
Sijatetea mkuu!Sakayo unachotetea ni nini hasa?!!
Huyu atakaa sawa tu na saivi nitampanga jirani makusudi nimpe mboga halafu aaniletee mm kibakulini ntakula mm yy atakula bila mbogaSijatetea mkuu!
Hoja yangu ni, mleta mada aliiona tabia toka kitambo na akashindwa kuirebisha mpaka imekuwa sugu!
Sawa mkuuHuyu atakaa sawa tu na saivi nitampanga jirani makusudi nimpe mboga halafu aaniletee mm kibakulini ntakula mm yy atakula bila mboga
Kabisaaa mkuu hamna la maana ni kufundishana upuuzi tuu...
Sijambo kabisaaa kaka, kulikoni kunijia na nguo mpya?!
Tabia nyingi mbaya huwa zinafichwa kipindi cha uchumba. Then baada ya ndoa ndiyo utaanza kujuta.Sijatetea mkuu!
Hoja yangu ni, mleta mada aliiona tabia toka kitambo na akashindwa kuirebisha mpaka imekuwa sugu!
Here Comes 'The Super Story' - By Wale Adenuga.Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote mke wangu hajawahi kunipokea na nishamwambia kuwa mm huwa napenda japo kuonyesha tu nia ya kunipokea ila wapi hataki. Sasa jana nimerudi zangu nje nakuja home na kafuko cha kilo ya nyama my wife kakaa nje na jirani zetu nafika ata kuinuka, kwa bahati jirani kanitania "nikupokee" aaaah mm nimeona hapa hapa ndipo pakumfunza wife nimempa jirani kifuko cha nyama, ikabidi jana tule bila mboga japo na yeye ucku kaninyima nyama yake lakini naamini itakuwa funzo.
Hongera sana jamanii...
Mi niko poa kabisaHongera sana jamanii...
Hujambo lakini?!
Wanaume bwana, kama walemavu.
Mie pia sijambo kabisaaa!!
Kwe Kwe Kwe Kwe Kwe KweHabarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote mke wangu hajawahi kunipokea na nishamwambia kuwa mm huwa napenda japo kuonyesha tu nia ya kunipokea ila wapi hataki. Sasa jana nimerudi zangu nje nakuja home na kafuko cha kilo ya nyama my wife kakaa nje na jirani zetu nafika ata kuinuka, kwa bahati jirani kanitania "nikupokee" aaaah mm nimeona hapa hapa ndipo pakumfunza wife nimempa jirani kifuko cha nyama, ikabidi jana tule bila mboga japo na yeye ucku kaninyima nyama yake lakini naamini itakuwa funzo.
Katika vitu ambavyo hataki kuskia ni hikiVery simple weka house girl atakua anakuja kukupokea mpaka mkeo adabu itakapomuingia
Sent using Jamii Forums mobile app
umekaa kibarazani umechoka nn sasa?
Inategemea kuna wachumba wengine wanaishi pamoja kabla ya Ndoa hivyo ni rahisi kila mmoja kujua tabia ya mwenzake japo kidogo.Wachumba hawaishi pamoja dada. Utazijua tabia za mtu pale mtakapoanza kuishi pamoja rasmi. Uchumba Raha sana kila mtu pretender
Keshasema kanyimwa papupuchi labda akafyatue kwa demu mwingine.Si ufyatue watoto mkuu watakuwa wanakusubiri stendi kabisa kukupokea