Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,759
- 1,607
Sakayo unachotetea ni nini hasa?!!Amemuambia wakati gani, wakiwa wachumba au akiwa tayari mke!
Kuna vitu vidogo tunavyopuuzia wakati wa uchumba ambavyo vinatugharimu tukiwa kwenye ndoa!
Imagine mke hampokei mume, unadhani ataweza kumwambia pole?!