Imebidi nimlishe mke wangu chakuka bila mboga

Amemuambia wakati gani, wakiwa wachumba au akiwa tayari mke!

Kuna vitu vidogo tunavyopuuzia wakati wa uchumba ambavyo vinatugharimu tukiwa kwenye ndoa!

Imagine mke hampokei mume, unadhani ataweza kumwambia pole?!
Sakayo unachotetea ni nini hasa?!!
 
Sijatetea mkuu!
Hoja yangu ni, mleta mada aliiona tabia toka kitambo na akashindwa kuirebisha mpaka imekuwa sugu!
Huyu atakaa sawa tu na saivi nitampanga jirani makusudi nimpe mboga halafu aaniletee mm kibakulini ntakula mm yy atakula bila mboga
 
Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote mke wangu hajawahi kunipokea na nishamwambia kuwa mm huwa napenda japo kuonyesha tu nia ya kunipokea ila wapi hataki. Sasa jana nimerudi zangu nje nakuja home na kafuko cha kilo ya nyama my wife kakaa nje na jirani zetu nafika ata kuinuka, kwa bahati jirani kanitania "nikupokee" aaaah mm nimeona hapa hapa ndipo pakumfunza wife nimempa jirani kifuko cha nyama, ikabidi jana tule bila mboga japo na yeye ucku kaninyima nyama yake lakini naamini itakuwa funzo.
Here Comes 'The Super Story' - By Wale Adenuga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote mke wangu hajawahi kunipokea na nishamwambia kuwa mm huwa napenda japo kuonyesha tu nia ya kunipokea ila wapi hataki. Sasa jana nimerudi zangu nje nakuja home na kafuko cha kilo ya nyama my wife kakaa nje na jirani zetu nafika ata kuinuka, kwa bahati jirani kanitania "nikupokee" aaaah mm nimeona hapa hapa ndipo pakumfunza wife nimempa jirani kifuko cha nyama, ikabidi jana tule bila mboga japo na yeye ucku kaninyima nyama yake lakini naamini itakuwa funzo.
Kwe Kwe Kwe Kwe Kwe Kwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachumba hawaishi pamoja dada. Utazijua tabia za mtu pale mtakapoanza kuishi pamoja rasmi. Uchumba Raha sana kila mtu pretender
Inategemea kuna wachumba wengine wanaishi pamoja kabla ya Ndoa hivyo ni rahisi kila mmoja kujua tabia ya mwenzake japo kidogo.
 
71 Reactions
Reply
Back
Top Bottom