Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Status
Not open for further replies.
...........Aha ha ha ha ha!! duuuh, umetoka usingizini nini au ulikuwa unasujuduu huku unapulizwa na jini yule anayewakalia kushoto na kulia mnapokuwa mnasali?

Unamaanisha hao Masheikh huo mchezo kumbe walianza zamani eeeh!! Nimekupata Sheikh nguvu.

Halafu namuonea huruma huyo Imamu aliyekufa wanaenda kumkamua mimavi yake yoooote. Hivi unajua mnapokamuliwa ile mimavi yenu mnafanywa nini? Ungejua usingetamani kufa ukiwa Muislam, nahisi Masheikh wa Zenji ule mchezo waliomba makusudi ili wakifa wasipate shida kwenye zoezi la kukamuliwa mimavi na ile kitu nyingine mnayofanyiwa.

Wewe kubwa jinga huna elimu huna dini upo kama jini na unene wako
 
Ndo maneno mnayofundishwa makanisani hayo?
........Acha ujinga wako!. Wahuni wenzio wanayoandika huoni eeh!. Nachoandika ni mtazamo na mawazo yangu, hakiwakilishi imanii yangu wala hakimuwakilishi mtu mwingine yeyote.

Ukiona huna la maana la kuandika piga kimya usitake kudandia watu.
 
Nijibu kama sio mkakati kwanini wanao uliwa na kuteswa na kulawitiwa wawe waislam tu ? Kwa nini yule mkristo aliekamatwa red hand wakati kanisa lilipo ripoliwa arusha hakuteswa wala kuuliwa ?
Kwa nini ponda ananyimwa dhamana kwa kesi za madai bakwata?
Kwanini masheikh wale wa zanzubar wakamatwe znz waje kuteswa bongo na kufanyiwa ushenzi ?
Kwanini yule Sensei apigwe risasi za tumbo akiwa chini ya ulinzi wa polisi?
Waislam ni watanzania wana haki sawa kama mtanzania mwengine. Mtuhumiwa wowote ni innocent mpaka atapotiwa hatiani hii ni kwa mujibu wa katiba yetu na ni haki ya kila Mtanzania.
Lakini kwa nini watuhumiwa hawa waislam wa ugaidi polisi wanawahukumu kifo kabla ya kutiwa hatiani ?
Wwislan ni binaadamu tuna hisia na pia kila muislam inamuuma kuona haya mambo yanaendelea na kuna wakristo wengi wanafurahia polisi wanapo vunja haki za msingi za raia wa waislam.
Hali hii sio ya kujivunia katika nchi yenye tabaka mbili kubwa za dini.
Ni vitendo vya kukemewa .
Raia yoyote akiuliwa na polisi akiwa chini ya uamgalizi wao ni lazima ifanyike inquest kujua chanzo cha kifo chake.
Na inawezekana kuwa serikali haina sera hii chafu dhidi ya raia wake lakini tunatilia shaka na vikosi vya kupambana na waislam a.k.a ugaidi kuwa vimeingiliwa na mataifa yenye chuki za kuupiga vita uislam.hawa wamepewa mafunzo marekani au na instructors wa huko na hawa hawana nia nzuri na hawapendi nchi hizi zitulie hivyo kuna shaka vikosi hivi baadhi ni moles na ni double agents . Wanafanya kazi ya kuwagombanisha watanzania kutumia dini kwa kuua waislam japo low targets ili kupandisha hasira.
Tuangalie kenya leo imefika wapi hawana raha wako sawa na somali tu.
Marekani walishindwa kuzuia ugaidi mkubwa kufanywa ndani ya nchi yao sio mara moja wala mbili leo wao ndio wawe walimu ? Tafakari

Maelezo yako ni marefu lakini hayana any substantial data ku-support idea yako kuwa wanaoteswa na polisi ni waislamu tu. Je, Mwangosi alikuwa muislamu? Hapa inaonekana unajaribu kujustify muendelezo wa uvunjifu wa sheria kwa kisingizio kuwa waislamu wanauliwa. Ndugu wa hao wanaoteswa au kuuwawa na polisi wana njia muafaka za kufuata ili haki itendeke na si hizo unazozitaja wewe za kulipiza kisasi kama Kenya au somalia.
 
Kaka punguza roho ya kishetani,kumbuka yote uyaandikayo yanakuwa recorded na utaulizwa juu ya chuki hii siku nzito ya hukumu,I guess vita ya udini ililipuka hapa wakristo ndo mtakuwa wahanga wa kwanza

.....Mkuu, samahani kama nakukwaza kwa kile unachokiona ni roho ya kishetani. Hayo maneno wanayoandika wenzako unayaona ya kimalaika kukashifu imani nyingine?

Usiwe hodari wa kulaumu watu pale unapoona kinaguswa kitu usichopenda kiguswe kutokna na imani yako.

Angalia post zote za juu kisha utaona ndugu zako wanasemaje. Sina nia ya kukukwaza lakini pia waambie jamaa wa imani yako nao ushetani wao haufai kwa wengine. Vinginevyo, ukiona namna gani na wewe vaa jezi uingie kwenye kurushiana maneno ya shombo.

Usijidanganye kuwa vita ikiingia hapa wakristo ndo watapata tabu, uzuri wetu tunajua kuvumilia na kupuuza ujinga wenu wala si kwamba hatuna uwezo wa kuwatuliza. Mfano mdogo ni kule Afrika ya kati yalipotokea mapambano kati ya kikundi cha Sereka na Anti-Baraka, kawaulizeni ndugu zenu jinsi walivyotafunwa nyama.

Kama nayoandika yanakuwa recorded na nitaulizwa sikuu ya mwisho na huyo Mungu wenu, Magaidi wenu ambao wanadai wanamtetea ALLAH kwa kuuwa watu wanaodai wameahidiwa kupewa mabikra 7 wakifa wanarekodiwa na nani na nani atawahukumu?.

Elewa kwamba vita haina mwenyewe, yeyote anaweza kuwa muhanga.

....Ni mtazamo!!
 
Maelezo yako ni marefu lakini hayana any substantial data ku-support idea yako kuwa wanaoteswa na polisi ni waislamu tu. Je, Mwangosi alikuwa muislamu? Hapa inaonekana unajaribu kujustify muendelezo wa uvunjifu wa sheria kwa kisingizio kuwa waislamu wanauliwa. Ndugu wa hao wanaoteswa au kuuwawa na polisi wana njia muafaka za kufuata ili haki itendeke na si hizo unazozitaja wewe za kulipiza kisasi kama Kenya au somalia.
.....Mkuu, usimshangae ndo upeo wao wa kufikiria unapoishia hapo. Wamemezeshwa kila kitu ni Marekani ndo anasababisha.

Siku akiona demu wake au mke wake anamsaliti ataanza kulia kuwa Marekani kasababisha hivyo.
 
Siku hao magaidi wakianza kulipa visasi tusisikie vijambio vyenu kupiga kelele

Mkuu vijambio vyanani kwanihao magaidi wananini chazaidi wajaribuwaone kitakachowakuta sasa hivi dawa ya motonimoto mwanzo mwisho hakuna kucheka na kima tena tuzinguane tu alafututaona hivyo vijambio unavyo sema vitapiga kelele kwa nani. Mijitu haitaki amani how can you leave with.
 
........Acha ujinga wako!. Wahuni wenzio wanayoandika huoni eeh!. Nachoandika ni mtazamo na mawazo yangu, hakiwakilishi imanii yangu wala hakimuwakilishi mtu mwingine yeyote.

Ukiona huna la maana la kuandika piga kimya usitake kudandia watu.

Kazi yenu kufi.rana tu
 
Ugaidi si jambo la utani...wanaosifia ugaidi hapa hawaujui..njooni kenya mutaufahamu, watanzania muungane waislamu kwa wakristo muumalize kabla haujaanza kuwamaliza nyinyi wenyewe
 
Wewe kubwa jinga huna elimu huna dini upo kama jini na unene wako
.........Aha ha ha ha!! Umepanic wee big_in!!. Kwani hapa nahitaji elimu gani au nahitaji dini ya namna gani ili niweze kuandika comments zangu?.

Wewe mwenye elimu badala ya kutumia elimu yako kunielekeza jinsi ya kufanya vitu katika njia sahihi, unaanza kuandika vitu visivyojenga kiasi kwamba akija mwenye akili atakuona wewe ndo zinga la Boya kuliko mimi unayeniona sina elimu wala dini.

Kwani ukiniita kubwa jinga itasaidia kunifanya niwe na akili na dini? Nchi yetu imejaa mijitu ya aina yako ambayo mingi hujihisi kama vile ipo vizuri kichwani kumbe ukijifananisha na Nguruwe ni heri hata ya Nguruwe kuliko wewe.

Siku hizi JF wameweka system ambayo ukitazama maandishi ya mtu anavyoandika unajua kuwa huyu ni mnene au mwembamba? Good innovations!!!

Umesema nipo kama jini? Jini yupi, yule anayewapuliza makalioni mnaposujudu halafu mkishamaliza kusali mnageuka kushoto na kulia ambapo mnaamini anakuwa anawalinda kisha mnasema "Bismillah shetwaan rahiiimu".

Teh teh teh teh!! Imani nyingine hata mimi ningekuwa Mbwa nisingekubali kujiunga nazo, duuuh, yaani mnapulizwa lol!!
 
Ugaidi si jambo la utani...wanaosifia ugaidi hapa hawaujui..njooni kenya mutaufahamu, watanzania muungane waislamu kwa wakristo muumalize kabla haujaanza kuwamaliza nyinyi wenyewe

Hakuna gaidi tz gaidi namba moja ni mmarekani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom