grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Kuitambua IQ ya mtu silazima mpaka umuone tu, jipange. Wenye uelewa tumeshakuelewa hata kwa mabandiko yako tu humu.kwani wewe ulijua kila kitu bila kufundishwa?nataman tungekuwa live pamoja halafu tupimwe IQ zetu, labda tungeelewana zaidi.