Image of virgin Mary grows on tree

Image of virgin Mary grows on tree

Mi nafikiri mnatokq nje ya mada au key discussion.

Hakuna shida katika kumuombea mwingine. Ni jambo jema. Hata sisi kwa sisi tunaombeana.

Issue hapa ni tunaombeana kwa njia gani katik kumfikishia maombi yetu Yesu? Idea hapa haijalishi nani anaomba, ila point hapa ni kuwa awasiliane na Roho Mtakatifu (Roho wa Yesu - the wengine hapa hawaelewi) moja kwa moja.

Issue ni je, unayetaka akuombee yuko hai anaishi au ni mfu? Hapo ndipo shida ilipo. Na, worship kwa mfano ya Catholic ni more like imeconcentrate kwa Maria, ambaye ni mfu, na hii naona inablock mioyo ya watu isiconnect na Roho Mtakatifu kwa urahisi ambao kwa sababu hiyo ndio maana Yesu akishuka kuja duniani.

Habari nzima ya kuomba ni moot kama huwezi kuthibitisha kwamba huyo unayemuomba yupo.
 
Hata cha Arusha kikimuingia kichwani anaweza kufikiri kamuona mungu.

Hilo halimaanishi kamuona mungu.
Mkuu wamejazwa ujinga na filamu za kizungu eti Yesu na Bikra maria wote ngozi nyeupe. Yuda iskariote, wahalifu wawili msalabani na wakorofi korofi wote walikuwa watu weusi...
 
Hata cha Arusha kikimuingia kichwani anaweza kufikiri kamuona mungu.

Hilo halimaanishi kamuona mungu.

jambo usilolijua wewe haimaanishi kuwa wote hawalijui, na pia haimaanishi wewe waweza tu kuwa sahihi na wengine wasiwe sahihi.
 
kama wewe ulidanganywa pole yako, sio wote tumedanganywa.
ningedanganywa kama wewe ungeniona humu nashabikia ujinga wa eti hiyo ndiyo taswira halisi ya bikra maria. Wewe ulimuona wapi kama sio umedanganganya na vitabu vya sunday school zetu toka utotoni...
 
Mkuu wamejazwa ujinga na filamu za kizungu eti Yesu na Bikra maria wote ngozi nyeupe. Yuda iskariote, wahalifu wawili msalabani na wakorofi korofi wote walikuwa watu weusi...

Eti kusali mpaka uelekee Mecca.

Mji mtakatifu ni Jerusalem.
 
Mkuu wamejazwa ujinga na filamu za kizungu eti Yesu na Bikra maria wote ngozi nyeupe. Yuda iskariote, wahalifu wawili msalabani na wakorofi korofi wote walikuwa watu weusi...

kama ndivyo ulivofundishwa hivi basi sina haja ya kubishana nawe, maana mie nilichofundishwa hakikuonyesha wahalifu wote ni weusi....
 
Usilazimishe watu kuamini uongo uliolishwa wewe toka utoto wako.

acha kukariri, nani kakuambia mie nimelishwa uongo?kama ulilishwa wewe ni wewe usitulazimishie na wengine, nina akili zangu za kutambua na nina macho yangu ya kuona sisemewi wala kulazimishwa tu kuamini, nina akili yangu nkama vile wewe ulivyo na zako.
 
Kumbe unasubiri mpaka ufundishwe pole sana, hata macho ya kuona mwenyewe huna!!

kwani wewe ulijua kila kitu bila kufundishwa?nataman tungekuwa live pamoja halafu tupimwe IQ zetu, labda tungeelewana zaidi.
 
Hakuwa amekuja kuabudiwa ila kufa kwa ajili ya wengi - kafara. Sasa tunamuabudu.
hapo ndipo mijadala mingi imeendeshwa seehemu mbali mbali ikiwamo humu JF , Mumemteua kua mungu na mkaamua kumuabudu baada ya kufa!!! ile yeye hakuwaambia wanafunzi wake kua yeye ni mungu. alipo kufa makaa mka TAFAKURI mkakubaliana kua awe mungu !!!
 
Kila mtu na mtizamo wake kulinganisha na taswira iliyomo kwenye kichwa chake. Mimi naona hiyo taswira inafanana na kitongoji kimoja maarufu kilichopo mkoa wa Kagera maarufu kwa shughuli za GULIO.
 
Imani ndio inayotufanya tuamini huyo ndiye. Imani yangu ipo na inaishi kupitia bwana Yesu kristu aliyeteseka kwa ajili yetu sote. I'd believe than not believe. Hii yote inatokana na neema ya MUNGU kwa yoyote atakeye amini jina lake.

Imani inaruhusu uamini hata babu yako mungu.

Lakini, ukiamini babu yako mungu, hilo halimfanyi babu yako kuwa mungu.
 
kwani wewe ulijua kila kitu bila kufundishwa?nataman tungekuwa live pamoja halafu tupimwe IQ zetu, labda tungeelewana zaidi.
Kuna vitu vya maana vya kufundishwa wewe, lakini sio katika ujinga kama huo wa kuaminishwa eti lipicha fulani ndilo Bikra maria au Yesu. Halafu unakua mbishi utafikiri ulimpiga picha wewe.

Ifike wakati Wakristo tuache kuabudu masanamu tuige wenzetu Waislamu, hata siku moja hutawaona wakionyesha mapicha ya uongo eti huyu ndiye Mtume SAW, Maswahaba au Khadija....
 
Back
Top Bottom