Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,228
- 30,469
Huwa sichelewi kukamata fursaHaaaaa naona unatumia opportunity vizuri lol
Huwa sichelewi kukamata fursaHaaaaa naona unatumia opportunity vizuri lol
sasa mpaka naolewa sijui huyo Mtu ana mawazo kama yako?Acha kujiendekeza plus uvivuu.
LA sivyo utaishia kuolewa na kuachika.
Mashine ya kufulia kwa maji gani? Haya maji machafu ya dawasco? Come on. Acha uchoyo hire two young people wa kike na kiume wakusaidieni. Wa kike ndani, wa kiume nje. Stop being selfish.... Kuna unemployment rate kubwa sana jamani.Shule za kata now kupata house girl ni shida sana
bora kununua tu hizo mashine
mashine ya kufua now laki sita unapata
microwave laki mbili unapata...
better machines......
Haya mama. Ukisali omba saana upate Huyo mwanaume Wa sayari ya Mars atakae kuendekeza.sasa mpaka naolewa sijui huyo Mtu ana mawazo kama yako?
siwezi kuishi na type Hiyo ya mwanaume. nitafungasha mwenyewe kabla ya kuambiwa.
KAZI ZA NYUMBANI SI KAZI YA MWANANKE. Ni kazi za waishio nyumbani na waajiriwa wa hizo kazi
Mashine ya kufulia kwa maji gani? Haya maji machafu ya dawasco? Come on. Acha uchoyo hire two young people wa kike na kiume wakusaidieni. Wa kike ndani, wa kiume nje. Stop being selfish.... Kuna unemployment rate kubwa sana jamani.
By the way, now vijana wa ku hire ni lazima wawe wamefika hata form four.
We jiendekeze tuu.... Utaona mwisho wake.na mwanaume ni zaidi ya provider na dyudyu. hizo roles ni za mwanaume pia.
ni job descriptions mbili tofauti na ndo nilichochagua.Kwahyo kuliko kuhudumia nyumba yako bora uhudumie ofisi ya bosi wako??
Ndo wazungu walipotufikisha...
Ni kazi za nani mkuu?Ofcourse kazi za nyumbani sio kazi za mwanamke. Ni basi tu....
Loooooooh!!!...... Hauogopi kupinduliwa???yes 🙂
wawili. mmoja atachoka na kulipua.
Maji ya dawasco machafu... Mashine zinaharibika haribika bana. Halafu kama ulikua unaishi kwenye uhalisia kipindi cha Jk, hakuna tofauti yoyote kabisa na sasa. [emoji136]Tuko kwenye kubana matumizi
ukiajiri watu wawili hata uwalipe elfu 80
watu wawili kwa mwaka tunazungumzia milioni 1.5
bado gharama za kuwalisha na kuwauguza wakiugua
while hizo mashine ukishanunua done
ni umeme tu......
Sio uchoyo....na kubana matumizi kama Magufuli anavyotaka
ajira wasubiri viwanda vya Magufuli
we have machines and we have a housegirl.Shule za kata now kupata house girl ni shida sana
bora kununua tu hizo mashine
mashine ya kufua now laki sita unapata
microwave laki mbili unapata...
better machines......