I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Labda hujawahi pata headache ya ma housegirl
kuna ma house girl washirikina
kuna waongo wambea wachonganishi
kuna malaya wanaoleta wanaume ndani

waliopitia headache za mahouse girl wanajua

kuishhi kwa uhalisia ni pamoja na kujua faida na hasara
wewe na mkeo mna kazi...
bustani haihitaji 24 hours..kibarua wa weekend anatosha
ngo'mbe waeke shambani na watu wa shambani wakae nao huko huko

kama unazungumzia maisha yenye stress kidogo...basi huhitaji kuwa na housegirl na houseboy
na ngo'mbe nyumbani
bado kuna ndugu ...ambao huwezi kuwakwepa
unaweza kukuta nyumba umejaza watu hata watoto wako kushika remote control tu shida
bado kuna ma houseboy wengi wana tabia za ku sex na watoto wa wenye nyumba
ushahidi upo humu humu JF wadada wame confess....

maisha ya sasa Houseboy sioni umuhimu wake hasa kuishi nae ndani
ngo'mbe wakae shamba....house girl labda mke awe mjamzito
machines are better
No... Mimi nimejifunza kuchagua ma housegal from my parents. They used to go and fetch them from their homes kabisa. Akileta ushenzi mnamrudisha kwao kabisa mnamkabidhi. Kuna faida ya kufanya hivi.... Pia hatuchukui housegal just a housegal NO. Lazima tunajua familia yake na mazingira yao.....
Maids wanakaa kwenye kota yao hatulali nao ndani and familia sio kubwa. Just wazazi na mtoto plus two maids. [emoji3]

Hayo mambo ya uchawi sijui nini inategemea na imani zenu and inategemea huyo maid wenu mmemchukua wapi. Vijijini wanajuana wale, kama upo serious na unachotaka huwezi kuchukua kiazi.

Haya mpo kazini, mtoto akirudi kutoka shule inakuaje? Awasubiri nje ya geti au? Msaidizi ni NEED sio WANT. Ninyi wazazi mnaingia home saa 12 au 1 usiku kabisa.....
 
Suppose unakuwa housewife kwahio hutaki kufanya chochote hutakuwa bored? Kama unaenda kazini inaeleweka ukirudi utakuwa umechoka au muda umeenda. Sasa wewe ni house wife siku nzima utakuwa unafanya nini?
kumbe mahousewife wanakaaga tu hawana kazi eeeeh????
 
Kudos to all housewives.

hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?

nimepima weeee pamegoma kabisa.

kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.

na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.

Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.

mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
Ukifanikiwa kuolewa(na mwanaume)...mchunguze sana mumeo ...kama na yeye sio mke wa mtu.
 
mazeeka hamfanyi mazoezi na kula vibaya
kazi pia ni mazoezi
na kuishi maisha ya stress
nyumba watu tele bado kuna ng'ombe....houseboy akiondoka tu unawaza nani atakata majani

tupunguze watu majumbani
kuanzia punguza house boy na housegirl
ngo'mbe peleka shamba....
ndugu wasio na kazi timua...
ukiwa wewe na mumeo hata usipopika atakula kongoro bar bila shida
wattoto hata kukaanga chips wanalala...

sasa nyumba ina bibi.babu.houseboy ,housegirl.shemeji
shangazi kaja kufuatilia vipimo muhimbili...
hapo kupika tu headache
kweli unachosema...binafsi nimelelewa hatukuwa na ndugu nyumbani hivyo extended family siwezi pia..
mazoezi ni point nyingine kubwa,mama kunenepeana ndio kuzeeka huko..
nyumba ikiwa na watu wengi ni ngumu hata kufatilia malezi ya watoto,chakula kitapikwa ilimradi tu yani ni tafrani...
 
Conversation between a Husband (H)
and a Psychologist (P):
P : What do you do for a living Mr.
Bandy ?
H : I work as an Accountant in a Bank.
P : Your Wife ?
H : She doesn't work. She's a Housewife
only.
P : Who makes breakfast for your family
in the morning?
H : My Wife, because she doesn't work.
P : At what time does your wife wake up
for making breakfast?
H : She wakes up at around 5 am
because she cleans the house first before
making breakfast.
P : How do your kids go to school?
H : My wife takes them to school,
because she doesn't work.
P : After taking your kids to school, what
does she do ?
H : She goes to the market, then goes
back home for cooking and laundry. You
know, she doesn't work.
P : In the evening, after you go back
home from office, what do you do ?
H : Take rest, because i'm tired due to all
day works.
P : What does your wife do then ?
H : She prepares meals, serving our kids,
preparing meals for me and cleaning the
dishes, cleaning the house then taking
kids to bed.
Whom do you think works more, from
the story above ???
The daily routines of your wives
commence from early morning to late
night. That is called 'DOESN'T WORK' ??!!
Yes, Being Homemakers do not need
Certificate of Study, even High Position,
but their ROLE/PART is very important!
Appreciate your wives. Because their
sacrifices are uncountable. This should
be a reminder and reflection for all of us
to understand and appreciate each
others roles.
 
No... Mimi nimejifunza kuchagua ma housegal from my parents. They used to go and fetch them from their homes kabisa. Akileta ushenzi mnamrudisha kwao kabisa mnamkabidhi. Kuna faida ya kufanya hivi.... Pia hatuchukui housegal just a housegal NO. Lazima tunajua familia yake na mazingira yao.....
Maids wanakaa kwenye kota yao hatulali nao ndani and familia sio kubwa. Just wazazi na mtoto plus two maids. [emoji3]

Hayo mambo ya uchawi sijui nini inategemea na imani zenu and inategemea huyo maid wenu mmemchukua wapi. Vijijini wanajuana wale, kama upo serious na unachotaka huwezi kuchukua kiazi.

Haya mpo kazini, mtoto akirudi kutoka shule inakuaje? Awasubiri nje ya geti au? Msaidizi ni NEED sio WANT. Ninyi wazazi mnaingia home saa 12 au 1 usiku kabisa.....

Kuna familia nyingi tu hazina maids kabisa
nyinyi two maids ni kwa sababu you can afford....baaasi...
na pengine nyumba ni kubwa...so mmoja anasafisha nyumba mwingine anacheza na watoto...
hiyo ni lifestyle tu ambayo nawajua some women wanaipenda sana
lakini sio need...ni kuchagua tu hiyo lifestyle
 
...
ukiwa wewe na mumeo hata usipopika atakula kongoro bar bila shida
wattoto hata kukaanga chips wanalala...
hizi ndo shida ya watu wanaoona kazi za nyumbani ni rahisi. eti mwanaume akale bar.... mtoto umkaangie chips.

I believe in home cooked HEALTHY food. najua ningekuwa housewife ningejipinda kweli kupika different healthy meals everyday.

NDOMAANA KAZI. people get paid for this.
 
mimi nakubali kabisa kwa mwanamke anaenda kazini asubuhi
hata kufuta vumbi ni kazi kubwa kwake
uchovu na mafoleni na kadhalika

ninachopinga mimi ni ulazima wa ma housegirl na ma house boy

nyumba ikiwa na watu kidogo hata ulazima wa kuisafisha daily unapungua

so mimi nasema tubadili lifestyle tu
I agree with you,au dada aje na kuondoka kipindi watoto bado ni wadogo wakikua umri wa kwenda shule hakuna haja ya kukaa na mtu....
 
Utakua mvivu na hauko sharp hata kidogo,na kama hauko sharp nikweli utafanya kazi za ndani tu masaa 24,na ukiletewa.mfanyakazi huta kaa umsaidie kazi
 
mazeeka hamfanyi mazoezi na kula vibaya
kazi pia ni mazoezi
na kuishi maisha ya stress
nyumba watu tele bado kuna ng'ombe....houseboy akiondoka tu unawaza nani atakata majani

tupunguze watu majumbani
kuanzia punguza house boy na housegirl
ngo'mbe peleka shamba....
ndugu wasio na kazi timua...
ukiwa wewe na mumeo hata usipopika atakula kongoro bar bila shida
wattoto hata kukaanga chips wanalala...

sasa nyumba ina bibi.babu.houseboy ,housegirl.shemeji
shangazi kaja kufuatilia vipimo muhimbili...
hapo kupika tu headache
Bora kuondoa ndugu lakini si dada au kaka wa kazi.
 
Wanawake wa dar!!

BTW, wanaume wanaoweza kuvumilia ujinga huu sizani kama mtawapata, kwa ushauri tu MKAWACHONGE KWA FUNDI SEREMALA
tumewapata wa hivyo...sema wewe huwezi ila kuna wanaume wanaojielewa kati yenu,mambo yanabadilika si kama zamani wote tunatoka asubuhi na kurudi jioni...wote tumechoka....tukifika wote tunasaidiana siku inaisha kwa furaha kabisa,ni reality sio story hio nnayokupa
 
mimi nakubali kabisa kwa mwanamke anaenda kazini asubuhi
hata kufuta vumbi ni kazi kubwa kwake
uchovu na mafoleni na kadhalika

ninachopinga mimi ni ulazima wa ma housegirl na ma house boy

nyumba ikiwa na watu kidogo hata ulazima wa kuisafisha daily unapungua

so mimi nasema tubadili lifestyle tu
Ofcourse mkiwa wawili hakuna ulazima wa maids. Maids wanini ukute mna nyumba yenu haina hata nyumba ya maids chaii! Kwanza housegal atawazuia kufurahia privacy yenu hasa mkitaka kujimwaga sebuleni ama kitchen nanini.... Hope you understand [emoji6]
 
hizi ndo shida ya watu wanaoona kazi za nyumbani ni rahisi. eti mwanaume akale bar.... motto umkaangie chips.

I believe in home cooked HEALTHY food. najua ningekuwa housewife ningejipinda kweli kupika different healthy meals everyday.

NDOMAANA KAZI. people get paid for this.

Wewe labda una issues zingine
mimi nimetoamfano kama mke hana mood ya kupika
mume anaweza kula bar siku hiyo
wewe unapinga una insist hiyo kazi apewe mtu alipwe
now hiyo ni maoni yako tu
your opinion..sio lazima kila mtu akubali

ndo maana hata some women here wamesema wao kupika sio kazi ni hobby

sasa sio lazima wote tutazame hilo jambo unavyoona wewe

kama unataka healtyh food home cooked..pika.....huwezi acha
sio lazima mtu mwingine aone umuhimu wa kuajiri mpishi....
mimi sioni umuhimu huo...
 
mambo yamebadilika,kitu nisichopenda kufanyiwa hapo ni kupikiwa tu ntapika mwenyewe...ila vingine am sorry vitafanywa kwa usaidizi...hata watoto kulea nayo ni kazi lakini najua ina wasaidizi pia....ukiendekeza hizi kazi unakongoroka ndio yale unaonekana mzee kuliko mme[emoji119]
Hata kufuliwa pichu?
 
Back
Top Bottom