Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Orayt... kwa meno namna hii yani...haaa uje cha chap sana.. uje without
Orayt... kwa meno namna hii yani...haaa uje cha chap sana.. uje without
Neither am I
Well don't tell me that I don't know what I'm talking about just because we disagree. It makes you look like a know-all yourself.
.
Yea the word also says to stone glutton children to death.
I don't wanna meddle with people's beliefs...(but of course I disagree as I explained).,
There are different types of men! Don't group em like chickens!
Muhaha is that what happened to you! Well what do you expect from a man who believes housechores are for women? There are men out there with a different upbringing and different views of life. maybe you've never met them. kwenye ukoo wetu wameingia weeengi.
I don't need to convince him. Make it click in your head that there are men who understand that house chores are their responsibility. Maybe you've never met them.
AGAIN THERE ARE DIDFERENT TYPES OF MEN OUT THERE.
mpaka niite watu dear dear ndo nionekane siamrishi! huu ndo mwandiko wangu! plus sijaja kubembeleza hapa nimekuja kuargue.
kwanza mie mpooole 🙂
heeeh bibi wewe...soni huna!!!!
kupikiwa nipikiwe mie. kukaribishwa nikaribishwe mie. kuitikia uitikie wewe! kumbe mnapenda kupikiwa eeh!!
aaaawww babe, thanks. 🙂
aren't you like the best cook ever!!
Kwa style hii huwezi pata radha halisi ya chakula maharage week nzima? kisamvu week nzima? cha muhimu ni kujipanga na kutafuta dada wa kazi baasi. Virutubisho vyote muhimu katika chakula vinapotea unajikuta wewe nafamilia mnakula makapi.Kama uliolewa hivi karibuni bila shaka una washing machine, itumie kama huna tafuta mtu wa kufua na kupiga pasi. Hakikisha unakagua nguo hizo vizuri. Rice cooker itakusaidia, wali perfect kila ukipika, hata pilau unamalizia humo humo. Kama una uwezo Maharage ya wiki chemsha, gawanya kwa mlo, freeze. Kama unatumia kisamvu unaweza pia kukichemsha, nyama kata kabisa chemsha, hifadhi kwa mafungu. Microwave ni rafiki yako, itumie vizuri. Kwa kifupi jipange.
Samahani kwa hili swali sipo kiimani lakini naomba niulize ni muislamu au mkristo wewe?Hakuna kitu kizuri kama kuwa na wife house anayetunzwa vizuri. Mimi na deka sana kwa mke wangu. Kwakuwa haendi kazini katika mambo anayofanya ni kunishawishi aonekane mpya na mzuri kila siku. Nikurudi nyumbani nakuta watoto wamekula, wamelala kwa wakati. Chumba kimepambwa kwa shuka za kukaribisha, chumba kinanukia ubani na mama ameshamaliza kazi zake binafsi na za kuwasimamia wengine, anamsubiri mzee tu akiwa amevaa kanga moja, believe me naulizwa wataka kuoga kwanza, kula au kunila mimi? Napenda sana chai, nakuta chai yenye viungo barabara imeshaandaliwa. Sasa kama Mungu amenipa uwezo kwanini ni mruhusu mke wangu akagusweguswe mwili wake na watu wa hovyo kabisa wakati ninauwezo wa kumpa anachofuata kazini na ninamwezesha kidogokidogo kwa ajili ya baade ili asimame mwenyewe.
Ili mradi Tanesco iko usipate shida na vyakula hivyo. Vyakula kama mchicha, majani ya maboga hivyo tayarisha papo kwa hapo ili kutunza vitamins ambazo hupotea kwa urahisi. Kama utaona shida tumia pressure cooker nayo ina save time.Kwa style hii huwezi pata radha halisi ya chakula maharage week nzima? kisamvu week nzima? cha muhimu ni kujipanga na kutafuta dada wa kazi baasi. Virutubisho vyote muhimu katika chakula vinapotea unajikuta wewe nafamilia mnakula makapi.
Ofcourse kazi za nyumbani sio kazi za mwanamke. Ni basi tu....
HahahhahaWewe ni pasua kichwa...🙂
Samahani siwezi kujibu hilo swali kwakuwa "Stereotyping" ni kwa watu wenye mtazamo finyu sana ingawa wewe ninaimani hauko hivyo. Dini wala kabila halina nafasi kwenye hili. Mimi na mke ni wa dini, makabili, mahali tofauti lakini maisha yanakwenda kama inavyotakikana kwa kutambua, kukubali na kuheshimu tofauti zotu za kidini, kikabila na kikanda.Samahani kwa hili swali sipo kiimani lakini naomba niulize ni muislamu au mkristo wewe?
Mtazamo wangu lakini huu, mara nyingi naona watu wanao heshimu na kujibehave kama wanawake haswa wanaotakiwa kutimiliza majukumu ya mke ambayo yanatakiwa kufanywa ndani ya nyumba ni wanawake wa kiislamu wana hofu ya mwanaume na kuwa watiifu kwa waume waoSamahani siwezi kujibu hilo swali kwakuwa "Stereotyping" ni kwa watu wenye mtazamo finyu sana ingawa wewe ninaimani hauko hivyo. Dini wala kabila halina nafasi kwenye hili. Mimi na mke ni wa dini, makabili, mahali tofauti lakini maisha yanakwenda kama inavyotakikana kwa kutambua, kukubali na kuheshimu tofauti zotu za kidini, kikabila na kikanda.
Inawezekana kweli ulichosema, lakini suala la mke mmoja mume mmoja kwa siku hizi halina dini, ingawa kwenye Ukristo si official lakini wanaume wengi wana wake zaidi ya mmoja kama mke na watoto pia na hii si TZ tu bali sehemu nyingi za Africa ambako nimetembea na kufanyakazi. Mimi nadhani heshima kwa mume inatokana vilevile na malezi, wazazi na hasa mama yako amekufundisha nini na amekuelekeza nini juu ya umuhimu wa mume wako na umuhimu wa kumuheshimu mumeo, sasa mama mwenyewe awe na jeuri kama wewe je mtoto wako wa kike atamweshimu mumewe kweli? Wapo wanawake wengi tu wa Kikristu ambao wako superp, wanaheshima kubwa sana kwa waume zao kwakuwa ndivyo dini inavyoelekeza lakini ninyi Waktrsto jina tu, na mkipata elimu kidogo na mkiongezea mambo ya gender sensitivity basi inakuwa balaa tupo, unashindwa hata kumchemshia mumeo chai kisa usawa.Mtazamo wangu lakini huu, mara nyingi naona watu wanao heshimu na kujibehave kama wanawake haswa wanaotakiwa kutimiliza majukumu ya mke ambayo yanatakiwa kufanywa ndani ya nyumba ni wanawake wa kiislamu wana hofu ya mwanaume na kuwa watiifu kwa waume wao
Mimi ni mkristo na mwanamke hichi ninachokiongea nimekiona sana na hata wengine waweza ni afiki sijui kwasabau wanawake wa kikristo tuna jeuri ya mwanamme mmoja mke mmoja mpaka kifo kitutenganishe. hayo ni mawazo yangu mimi.
Haya asante kwa maoni yakoInawezekana kweli ulichosema, lakini suala la mke mmoja mume mmoja kwa siku hizi halina dini, ingawa kwenye Ukristo si official lakini wanaume wengi wana wake zaidi ya mmoja kama mke na watoto pia na hii si TZ tu bali sehemu nyingi za Africa ambako nimetembea na kufanyakazi. Mimi nadhani heshima kwa mume inatokana vilevile na malezi, wazazi na hasa mama yako amekufundisha nini na amekuelekeza nini juu ya umuhimu wa mume wako na umuhimu wa kumuheshimu mumeo, sasa mama mwenyewe awe na jeuri kama wewe je mtoto wako wa kike atamweshimu mumewe kweli? Wapo wanawake wengi tu wa Kikristu ambao wako superp, wanaheshima kubwa sana kwa waume zao kwakuwa ndivyo dini inavyoelekeza lakini ninyi Waktrsto jina tu, na mkipata elimu kidogo na mkiongezea mambo ya gender sensitivity basi inakuwa balaa tupo, unashindwa hata kumchemshia mumeo chai kisa usawa.
Wewe na loveissweet ni mtu mmoja??kavile umemjibia haswa alichokisema kuhusu kuolewa na msukuma mkokoteni...correct me if am wrong... Maandish hayadanganyi...Yaani we acha tuu my dear.. Haaahaaaa mpaka nacheka , it's funny .. The way God works is not the same as humans .. Kibao kimemmgeukia yeye, now who is taking care some of her kids , Yule aliyemtabiria ataolewa na msukuma mkokoteni . Haahaaaa , haki Mungu nimemuona in my life .. . The funniest thing she can't face me to ask for help so she use our other relative to tell me . And I don't ask her why she does that , I just do what needs to be done .. That's why I have said never say never .. Hatujafa na hatujaumbika .. Thanks.
Umagharibi Huu Brother Bado Kuvaliwa Na Strapon Unakuja Kuambiwa Haki Sawa Inama Nikufyatue Baba.Somebody used to say "I can't stand Tanzanian/African men". Do you have a clue who that was, housegirl ?