Fahimat
Member
- Feb 6, 2019
- 27
- 29
- Thread starter
- #261
Hata saivi anapaswa atubu! Ndipo amuombe Mungu amuonyeshe aliye sahihi kwake!
Tatizo muda Dear,Ndo maana nikasema tunamsoma tuu mdada! Uamuzi wa kuzaa ni wake, akiwa na msimamo hawezi kuzaa kabla ya ndoa!
Kiufupi tumemsoma tuu binti, pengine ni binti anataka ndoa ya haraka!
Halafu suala la kuzaa ni lao wawili akikataa binti sidhani kama huyo mwanaume atalazimisha! Ni kuwa na msimamo tuu!
Wewe ndo unakosa timing... Sasa hiyo subira yako ya kusubiri 30yrs ndo uolewe, itakula kwako....Miaka 23 unakimbilia kuolewa? Ww si ulitakiwa uwe darasani mda huu? Jamani ccm imeharibu vijana wetu wengi sana...... Mungu walaani ccm na vizazi vyao vyote
Unatolewa je posa na usiyemjua??
Huu utaratibu bado upo?
Kuna kupenda na kuridhia. Kama hujampata wakumpenda basi sio mbaya kumridhia anaekuhitaji.Hakunaga kujifunza kumpenda mtu! Mimi ni mwanamke, huwezi nioa sijawahi kuwa hata rafiki yako useme nitakupenda!
الزَّانِي لَا يَنْكِحُ إِلَّا زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَةً وَالزَّانِيَةُ لَا يَنْكِحُهَا إِلَّا زَانٍ أَوْ مُشْرِكٌ ۚ وَحُرِّمَ ذَٰلِكَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ
(Ali Muhsin Al-Barwani)
Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo yameharimishwa kwa Waumini.
-Sura An-Nur, Ayah 3
Bila shaka wewe ni mtoto wa kiislam basi fanya kama vile ulivyopata mafundisho, mkatalie mtoto wa nje ya ndoa, kwanza mwanao atakosa haki zake nyingi kwa baba yake km atazaliwa nje ya ndoa, wewe mwenyewe halikadhalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Intimacy, Passion na Commitment hivi vipimo vikuu vya mahusiano. kikimiss hata kimoja jua hapo unacheza kamali.
Muhimu tu chukua muda kusema. But don't ever try to put him off. Kiufupi waombe wazee wako wamwambie atajibiwa kuhusu posa awape muda halafu mtamjulisha
Achana nae yule
Maasha Allah!!! You are really impressing meYah sure but Everything happens for a reason, nia yangu kuingia kwenye ndoa ni kujiepusha na Zinah, hilo linatosha kunilinda mbele ya Mungu wangu naamini atanisaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hakika mapenzi ni mti, ukipandwa, ukatiwa mbolea, ukamwagiliwa maji hakika utatoa matundaKuna kupenda na kuridhia. Kama hujampata wakumpenda basi sio mbaya kumridhia anaekuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliolewa ukiwa na umri gani?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] imebidi nicheke kwa sauti.. huu umri wake jaman anataka ndoa lol..
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana