I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

I'm Confused, Niolewe ama niendelee kumsubiri?

Mimi nakushauri baada ya ushauri wote utakaopewa hapa, mwisho angalia moyo wako unataka nini!
Kuolewa na mtu kwa sababu ametaka kukuoa siyo suluhisho, jee moyo wako upo tayari kuolewa naye?
Au kwa sababu ana nia ya kukuoa?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Huu moyo hebu tuuachie kazi ya kusukuma damu wajameni
 
I know I know hata mimi sometimes nlikuwa ibilisi ananipitia eti nimuache coz hataki kunipa game. Ila kwa kuwa nlimpenda sikumuacha na sasa ni mke wangu and we are approaching our fourth year
Hongereni sana Maashaallah!! Nipate ka Experience kutoka kwenu, mlichukua muda gani kwenye mahusiano kabla ya kupeleka posa kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa, (Boyfriend & Girlfriend, kwa maana kwamba sio mahusiano rasmi). Kiukweli nampenda sana huyu mkaka, ananipenda pia anavosema. Lakini tatizo linakuja kwenye Commitment. Mwenzangu anatamani mtoto kabla ya ndoa na mm nataka tupite njia za halali Nusra (Ndoa) kwanza ndo mengine yafuate. Wamekuja vijana watatu kwetu kuniposa sikuwakubalia nikiamini ninae wangu ambae ndo yeye, habari hizo anazijua lakini bado hakutilia maanani,

Sababu ya kutaka ushauri ni kwamba amejitokeza kijana mwingine mwenye nia ya kunioa, nilivompa taarifa kwamba nmeamua nakubali kuolewa kwasabb ya yeye kutonionesha ushirikiano, ananilaumu kwamba nimechukua maamuzi kwaharaka kwanini nisimvumilie. Kiukweli I'm confused, naomba ushauri nimkatae na huyu ili niendelee kumsubiria Boyfriend au ni Move on? Karibuni.

NB: New ID for a Reason. Please don't doubt.



Sent using Jamii Forums mobile app
move on olewa na anayetaka kuolewa huyo mwingine kama utaona anafaa anaweza kuwa mchepuko wako huko baadae.
 
Hongereni sana Maashaallah!! Nipate ka Experience kutoka kwenu, mlichukua muda gani kwenye mahusiano kabla ya kupeleka posa kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
7 years. I knew her when we were in form 5 in the year 2008, I approached her in October 2010 when we were first year. Tulichaguliwa mkoa mmoja ila vue tofauti. I married her in February 2015
 
Relationship for 7yrs? So that's to say mie subira sina!! Sorry,but Natamani kujua nini sababu ya kukuvumilia muda wote huo, ulimwaminisha vipi?
7 years. I knew her when we were in form 5 in the year 2008, I approached her in October 2010 when we were first year. Tulichaguliwa mkoa mmoja ila vue tofauti. I married her in February 2015

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha sasa sikia nikwambie kitu kimoja. Sisi wanaume huwa hatuwezi kuwa na amani na mwanamke ambaye hugongi. Kwahiyo jamaa anagonga zake nje huko, na kwakuwa wewe umeshambania kwa muda mrefu, siku ukiamua kumpa jua kuwa hicho ni kisasi, na HATAKUOA. Kwahy ndugu yangu kama nia yako ni kupata nusra iliyo njema, achana na jamaa olewa. Ukitaka kujipoteza malengo, mpe jamaa mzigo ukiamini anakupenda. Huu ni katika ushauri ambao utaukumbuka sana ukifanya kinyume. Allah akuongoze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupenda ni kimbelembele tuu.
Hivi kanisani kwako si huwa unaombea haya mambo?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Sana. Na wakati mwingine natoa demo kwa vitendo. Uje nikuombee
 
Hahaha sasa sikia nikwambie kitu kimoja. Sisi wanaume huwa hatuwezi kuwa na amani na mwanamke ambaye hugongi. Kwahiyo jamaa anagonga zake nje huko, na kwakuwa wewe umeshambania kwa muda mrefu, siku ukiamua kumpa jua kuwa hicho ni kisasi, na HATAKUOA. Kwahy ndugu yangu kama nia yako ni kupata nusra iliyo njema, achana na jamaa olewa. Ukitaka kujipoteza malengo, mpe jamaa mzigo ukiamini anakupenda. Huu ni katika ushauri ambao utaukumbuka sana ukifanya kinyume. Allah akuongoze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umempa ushauri murua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom