Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Paaal hujambo???Kupenda ni kimbelembele tuu.
Hivi kanisani kwako si huwa unaombea haya mambo?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Paaal hujambo???Kupenda ni kimbelembele tuu.
Hivi kanisani kwako si huwa unaombea haya mambo?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hapana. Sikupewa mzigo for all that long.
SawahHahaha sasa sikia nikwambie kitu kimoja. Sisi wanaume huwa hatuwezi kuwa na amani na mwanamke ambaye hugongi. Kwahiyo jamaa anagonga zake nje huko, na kwakuwa wewe umeshambania kwa muda mrefu, siku ukiamua kumpa jua kuwa hicho ni kisasi, na HATAKUOA. Kwahy ndugu yangu kama nia yako ni kupata nusra iliyo njema, achana na jamaa olewa. Ukitaka kujipoteza malengo, mpe jamaa mzigo ukiamini anakupenda. Huu ni katika ushauri ambao utaukumbuka sana ukifanya kinyume. Allah akuongoze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hakurudia darasa kwa miaka 23 ashamaliza Chuo huyo ni mtu mzima anaweza kuolewaMiaka 23 unakimbilia kuolewa? Ww si ulitakiwa uwe darasani mda huu? Jamani ccm imeharibu vijana wetu wengi sana...... Mungu walaani ccm na vizazi vyao vyote
Jamaa limerisiti basi linaona miaka 23 michache sana hahhahaaKama hakurudia darasa kwa miaka 23 ashamaliza Chuo huyo ni mtu mzima anaweza kuolewa
Wee mbona hueleweki na hii stori yako?
Mwanangu.. Allah kakupa akili ..sasa utumia busara ipasavyo "Ajae kwa nia ya kuoa" utamuelewa ... na "ajae kwa kukuchezea na kupooza hamu zake " utamuelewa !!Salaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa, (Boyfriend & Girlfriend, kwa maana kwamba sio mahusiano rasmi). Kiukweli nampenda sana huyu mkaka, ananipenda pia anavosema. Lakini tatizo linakuja kwenye Commitment. Mwenzangu anatamani mtoto kabla ya ndoa na mm nataka tupite njia za halali Nusra (Ndoa) kwanza ndo mengine yafuate. Wamekuja vijana watatu kwetu kuniposa sikuwakubalia nikiamini ninae wangu ambae ndo yeye, habari hizo anazijua lakini bado hakutilia maanani,
Sababu ya kutaka ushauri ni kwamba amejitokeza kijana mwingine mwenye nia ya kunioa, nilivompa taarifa kwamba nmeamua nakubali kuolewa kwasabb ya yeye kutonionesha ushirikiano, ananilaumu kwamba nimechukua maamuzi kwaharaka kwanini nisimvumilie. Kiukweli I'm confused, naomba ushauri nimkatae na huyu ili niendelee kumsubiria Boyfriend au ni Move on? Karibuni.
NB: New ID for a Reason. Please don't doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
ShukranMwanangu.. Allah kakupa akili ..sasa utumia busara ipasavyo "Ajae kwa nia ya kuoa" utamuelewa ... na "ajae kwa kukuchezea na kupooza hamu zake " utamuelewa !!
FYI, wwwwwwwwwanaume wengi ni maOportunisti!!
Nakutakia hadhi njema na vizazi vyema.
Si unajua nilishasema mimi naombewa ofisini.Sana. Na wakati mwingine natoa demo kwa vitendo. Uje nikuombee
Sijambo pal!Paaal hujambo???
Kuna mipaqka gani na hyu boyfriend wako wa sasa. Yaani hamfanyi zinaa?1. Msimamo ninao ndomana nimechukua maamuzi magumu sijauendekeza moyo. Kuzaa asingenilazimisha lakini nimeangalia muda, I'm 23yrs now, baada ya miaka 2 ya kuendelea kuvumilia + mkazo wangu wa kutokubali zinah ntakuwa na 25yrs, nikifika hapo nitakuwa sina choice tena nitafanya lolote atakalotaka.
2. Sababu ya kuharakisha ndoa ni hofu ya Mungu nilonayo naogopa kuikaribia Zinah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri Olewa na huyu aliyeleta posa. Hayo anayetaka uendelee kuvumilia atakuja kukumuaga akishakula tunda
Hey Sis, usiconclude kitu kama hujaelewa, hakuna nilichoficha hapo. Ukirudia kusoma reply yangu nimeonesha kialama cha mshangao, nimeshangaa kuambiwa nimeficha. Na sina sababu ya kufanya hivyo.Wee mbona hueleweki na hii stori yako?
Sasa ulificha kwa faida ya nani na umekuja kuomba ushauri humu!
Guess what hata stori yako ya kutunga hii smh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Washa data. Nimekutumia kwa wasapu...Si unajua nilishasema mimi naombewa ofisini.
Naomba direction. Hiyo demo ndiyo yenyewe
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Tako unatoa?
Umsubiri afanye nini? What's the plan?Salaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa, (Boyfriend & Girlfriend, kwa maana kwamba sio mahusiano rasmi). Kiukweli nampenda sana huyu mkaka, ananipenda pia anavosema. Lakini tatizo linakuja kwenye Commitment. Mwenzangu anatamani mtoto kabla ya ndoa na mm nataka tupite njia za halali Nusra (Ndoa) kwanza ndo mengine yafuate. Wamekuja vijana watatu kwetu kuniposa sikuwakubalia nikiamini ninae wangu ambae ndo yeye, habari hizo anazijua lakini bado hakutilia maanani,
Sababu ya kutaka ushauri ni kwamba amejitokeza kijana mwingine mwenye nia ya kunioa, nilivompa taarifa kwamba nmeamua nakubali kuolewa kwasabb ya yeye kutonionesha ushirikiano, ananilaumu kwamba nimechukua maamuzi kwaharaka kwanini nisimvumilie. Kiukweli I'm confused, naomba ushauri nimkatae na huyu ili niendelee kumsubiria Boyfriend au ni Move on? Karibuni.
NB: New ID for a Reason. Please don't doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app
3afwan...