Nimeona, asante.Washa data. Nimekutumia kwa wasapu...
Tegemea ujio wangu.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Nimeona, asante.Washa data. Nimekutumia kwa wasapu...
Poa pal, nimekwama huku uhamiaji hakuna maboss wenzio wanaweza kunifaa?Sijambo pal!
Mambo
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
muoe aisee atafaidi sana hela zako bwana Pep Guardiola 😀😀😀
ukipuuza huu ushauri..usijetuletea kilio mbelen..ndoa haziparamiw dogosubiri, wewe bado ni msichana mdogo,
hakuna kitu kinachomput off mwanaume kama kumuonyesha unataka ndoa ama uko desperate na ndoa…
Ndoa ni fumbo kubwa, hao wanaotaka kukuposa unaweza ukute wanafanya hivyo sio kwa mapenzi kwako ila kwa sababu wameshaona 'udhaifu' wako ni ndoa….
...Sali utambue mume sahihi ,ikibidi shirikisha Rafiki zako,ndugu zako etc
Oooh, hebu ngoja kwanza nikupigie simu.Poa pal, nimekwama huku uhamiaji hakuna maboss wenzio wanaweza kunifaa?
Mwali nimecheka mpaka machozi😀Hivi jamani hao wanaume wanokuja mpaka nyumani kutoa posa wanapitiaga mitaa maalum tu na mikoa au tz nzima na viunga na mitaa yake na nyumba zote kwa wanawake wote?
Mi mbona sina hiyo bahati jamanii[emoji23]
Maskini mwajuma nazeeka mimi
Sawa[emoji47]
Sent using Jamii Forums mobile app
muoe aisee atafaidi sana hela zako bwana Pep Guardiola 😀😀😀
Cheka uongeze siku somo... Nkizybaa tu hapa imekula kwanguMwali nimecheka mpaka machozi😀
Uje without kabisa tusipoteze mudaNimeona, asante.
Tegemea ujio wangu.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
ThanksOooh, hebu ngoja kwanza nikupigie simu.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi jamani hao wanaume wanokuja mpaka nyumani kutoa posa wanapitiaga mitaa maalum tu na mikoa au tz nzima na viunga na mitaa yake na nyumba zote kwa wanawake wote?
Mi mbona sina hiyo bahati jamanii[emoji23]
Maskini mwajuma nazeeka mimi
Sawa[emoji47]
Sent using Jamii Forums mobile app
Muendeee "inbox" kitu cha "pm" akupe siri ya mafanikio. Anahitaji msaada, kahemewa😛
Hahahaaa ngoja nimfuateMuendeee "inbox" kitu cha "pm" akupe siri ya mafanikio. Anahitaji msaada, kahemewa😛
Na wewe unataka mume nije?Ninekunja ndata, [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
kutoka: 22D Arnold st.
Olewa, achana na huyo anayekuzini tu kila kukichaSalaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa, (Boyfriend & Girlfriend, kwa maana kwamba sio mahusiano rasmi). Kiukweli nampenda sana huyu mkaka, ananipenda pia anavosema. Lakini tatizo linakuja kwenye Commitment. Mwenzangu anatamani mtoto kabla ya ndoa na mm nataka tupite njia za halali Nusra (Ndoa) kwanza ndo mengine yafuate. Wamekuja vijana watatu kwetu kuniposa sikuwakubalia nikiamini ninae wangu ambae ndo yeye, habari hizo anazijua lakini bado hakutilia maanani,
Sababu ya kutaka ushauri ni kwamba amejitokeza kijana mwingine mwenye nia ya kunioa, nilivompa taarifa kwamba nmeamua nakubali kuolewa kwasabb ya yeye kutonionesha ushirikiano, ananilaumu kwamba nimechukua maamuzi kwaharaka kwanini nisimvumilie. Kiukweli I'm confused, naomba ushauri nimkatae na huyu ili niendelee kumsubiria Boyfriend au ni Move on? Karibuni.
NB: New ID for a Reason. Please don't doubt.
Sent using Jamii Forums mobile app