Ilipaswa kuwa hivi

Ilipaswa kuwa hivi

Ingekuwa hivyo mngesema ingepaswa kuwa vile halafu mngesema hamuhitaji vitu mnataka mpewe hela, basi tu ili mradi mtetee uvivu na ugoigoi.

Piga kazi Magu!
Akinunua madege makubwa,wanahoji eti hapa bongo yatatua uwanja gani?
 
Wanaomchukia ni Wachaga low class kama wewe, lkn Wachaga upper class wengi wao ni pro-Magu!
Ukabila unaanzia huko. Karibu na KENYA. Mnapenda mtu eti kwa sababu ni wakwenu. Ndio maana wanaqachukia wachagga.
 
Indeed
Hivi bado mnafikiri ile fly over ni kwa ajili yako...

Ile imewekwa strategically kurahisisha usafiri kutoka airpot kwenda city center...wala si kwa ajili yenu wanyonge...
 
Itakuwa Zaidi Ya Hivyo Hivyo Hatujachelewa
Imetokea Kama Mradi Wa Umeme Wa Rufiji
Wasomi Na Mabeberu Waliupiga Vita Sasa Hivi Tumeanza Kuujenga Kwa Pesa Ya Ndani


Ubungo Itakuwa Juu Mawinguni 😂😃😄🤔
Pierre Liquid
 
Kwetu hapa uwezo ungekuwa unaruhusu wangejenga hilo tusingelala mwaka mzima bado sisi ni maskini lakini kwa siasa tuko vizuri
 
ni kweli kuwa nasi tunataka kuwa kama Ulaya,kama US,kama China na majabali mengine uko mbele lakini tusisahau kuwa sisi ni developing country,katika kukumbuka kwako kumbuka na hili ,,hata mbuyu ulianza kama mchicha tu
things take time tutafika tu safari bado ni ndefu
 
Ingekuwa hivyo mngesema ingepaswa kuwa vile halafu mngesema hamuhitaji vitu mnataka mpewe hela, basi tu ili mradi mtetee uvivu na ugoigoi.

Piga kazi Magu!


Hawajitambui nyumbu haoo... Wakt mlingoti mmoja tu wa ile fly over ya tazara unajenga ofisi km ile yao 10
 
Anapiga kazi ya kulazimisha kupendwa.

Lakini wapi! Anachukiwa balaa!

Wanaomchukia ni nyie wachache ma agent wa mabeberu mliobanwa kwenye ile michongo yenu ya magumashi magumashi...
 
Back
Top Bottom