Sasa mbomlna mkuu hii ni right handed
Lakini haijulikani nini kilitokeaView attachment 1173736
Lakini haijulikani nini kilitokeaView attachment 1173736
Kakiboya haijapata tokea. Kenya wanatuzooom tu. Halafu wanatikisa vichwa. Sijui tunakwama wapi tunatengeneza vitu vya kishamba hivi? Kama kako mpanda huko
Ile sio flyover ni daraja tu kama la Manzese
AISEEE KUMBEChato
SIPAJUI HATANjia panda ya chato
OOOOH AISEESalidalama moko
Acha uongo pita uangalie jinsi nguzo zilivyosimikwa ubungo
kwa taarifa yko mpk mangosha wenzie hawataki.Wanaomchukia ni Wachaga low class kama wewe, lkn Wachaga upper class wengi wao ni pro-Magu!
Lakini haijulikani nini kilitokeaView attachment 1173736
Pale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
Mbuyu ulianza kama Mchicha.
Hakuna changa hapo ni mabadiliko tuu ilionekana wangefanya iwe kama hivo lingekula space kubwa yaani kuanzia shell hadi kule songas mwanzo zile nyumba ziondoshwe zote
Nikizama google earth nikiangalia miji ya wenzetu sio poa, hata hapo nairobi tu wametuzidHuwa nikipita pale naishia kucheka tu....
Acheni wazungu watuone sie komedian tu hapa duniani
Haaa haaaAcha uongo pita uangalie jinsi nguzo zilivyosimikwa ubungo