smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,575
- 12,190
kanawaletea shida sana watumiaji wa barabara ya mandela. hakajaleta unafuu hata kidogo.Pale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
kanawaletea shida sana watumiaji wa barabara ya mandela. hakajaleta unafuu hata kidogo.Pale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
kakishamba sana
Lakini haijulikani nini kilitokeaView attachment 1173736
Ile sio flyover ni daraja tu kama la ManzesePale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
Tarakilishi Mkubwa weee
Oooh...! Kwa neno hilo hilo kupaita pa kishamba anaweza kusakwa na wasiojulikana? Duuh...! Hii sasa hatariww kipepe utarudishwa porini au kwenye kiroba huko baharinii
Alafu foleni iko vile vile huku chini yani tumefukia hela pale wale trafiki wanatakiwa watolewe pale waache taa zifanye kaziPale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
Hamna kitu paleAlafu foleni iko vile vile huku chini yani tumefukia hela pale wale trafiki wanatakiwa watolewe pale waache taa zifanye kazi
Hivi bado mnafikiri ile fly over ni kwa ajili yako...Pale tazara panasikitisha, kafly over kakishamba sana
Mibuyu ikakua mibuyu namchicha ikabaki kua mchichaMbuyu ulianza kama Mchicha.