Ilikuwaje Azam kuhusu Golikipa Mohamed Mohamed Mustafa?

Ilikuwaje Azam kuhusu Golikipa Mohamed Mohamed Mustafa?

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,789
Reaction score
24,378
Huyu golikipa ni mali sana ila sijui ilikuwaje akaondoka Azam ambayo ina fedha ndefu sana. Nilimwona langoni wakati Sudan ikiwaadabisha Nigeria kwenye CHAN 2024 ikiwa ni dhahiri kuwa hayuko Azam tena.
 
Atazuia magoli magumu atafungwa kifala ni kama Pin Pin
 
Achana na Azam, malengo yao ni NBC.....

Ni kama Utopolo tu, hawana malengo ya kufika mbali.
 
Achana na Azam, malengo yao ni NBC.....

Ni kama Utopolo tu, hawana malengo ya kufika mbali.
huko mbali unakosema wewe ni wapi ambapo wenzako hawajafika? ulipofika ilikuwaje? wenzio ikawaje?
unawezaje kufika mbali bila kuanzia kwanza karibu?
huko kilungule mnakaa watu wa namna gani haswa?
 
Back
Top Bottom