Mkuu usiwe mbishi umechemka tena hata usingetaja dini yako,wewe kama unaoa kwa kuangalia uzuri wa sura pekee unashida.Niltegemea utuambie umempenda kwa sababu anaswali sala tano,anajitunza kwa kuvaa hijabu.Wewe umewaibisha waislam na tunawasiwasi kama ni muislam kweli au ni muislam jina au ni mpenzi wa yule jamaa "neema za Allah?"
Huweza ukaja kwenye public kuweka wazi mambo yako ya uchumba kwa huyo marehemu au unadhani hujulikani wewe ni nani?@Mshana Jr yuko sahihi sema level zake za kuelezea ziko juu umeshindwa kumwelewa,watu wamemwelewa that is why post yake ina like 100+ wewe mpaka naandika huna hata like moja kwenye kitabu chako,jifunze kwa wengine mkuu.Mimi nakushauri umpokee Yesu ,mke mwema anatoka kwa Bwana huku hatuangalii uzuri peke yake ndoa ni zaidi ya uzuri wa sura ya mwanamke.