Wanandoa walikuwa wanafanya tendo la ndoa ndani ya nyumba,mara mbwa akabweka,ile wanafungua mlango mpiga chabo alijisahau na kuwambia ''nye endeleni tu,ni mbwa anambwekea paka,ikitokea kitu nitawajulisha''
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaWanandoa walikuwa wanafanya tendo la ndoa ndani ya nyumba,mara mbwa akabweka,ile wanafungua mlango mpiga chabo alijisahau na kuwambia ''nye endeleni tu,ni mbwa anambwekea paka,ikitokea kitu nitawajulisha''
hahahahhahahaha mkuu hii kali mnoNi nzuri mkuu nimezipenda. Hiyo ya kijana mvuta bangi inafanana na hii ya kijana mmoja wa kiarabu pale ilala alialikwa kwa mara ya kwanza kijiweni. Siku hiyo mzigo (bangi) ulitoka Tabora, si unajua bangi ya Tabora ni kiboko. Kijana akavuta akanogewa kisha akataka kujinyonga kwenye mpapai, kila akitundika kamba kwenye tawi la mpapai linakatika. Washikaji wakaanza kulaumiana nani amemwita huyo. Mara kila mmoja akaondoka mahali hapo.
hiyo ishu isikukute mkuu,utahama mtaa