DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 87
kinachofuata hapa ni mtu kupigwa bisibisi ya jicho..lolWanandoa walikuwa wanafanya tendo la ndoa ndani ya nyumba,mara mbwa akabweka,ile wanafungua mlango mpiga chabo alijisahau na kuwambia ''nye endeleni tu,ni mbwa anambwekea paka,ikitokea kitu nitawajulisha''