Rungu la Polepole limerushwa na kuangukia CCM, NIDA na INEC. Kwamba watatu hawa ndio wapindishaji wa haki na maamuzi ya watanzania kwa viongozi wanaowataka kupitia sanduku la kura.
Baada ya madai haya ya Polepole, mapema tu ukaanza mtifuano na majibizano humu.
Wapo wanaopinga hoja za Polepole kwa kudai kuwa ni muongo, mzushi, mnafiki, anatamaa ya madaraka, kwa nini aseme sasa kwani baadhi ya mambo anayoyasema yalikuwepo kwenye Serikali iliyopita wakati yeye akiwa kiongozi, wapo wanaosema akawatafute au aseme wapi alipo Ben Saa nane na wengine. Mwisho wanasema October 29 twende tukatiiki. Ali mradi kila mmoja anapuyanga kivyake.
Wapo wanaosema, Pole pole asikilizwe, wengine wanasema hakuna haja ya kushiriki uchaguzi.maana kwa mjibu wa Polepole, hata wakienda kupiga kura, hakuna maana kutokana na kuunganishwa kwa mifumo CCM, NIDA na INEC mshindi anajulikana.
Kutokana na hayo, ili tuamini kuwa Polepole ni muongo, Hawa wajitokeze ili tuwasikilize, tutajua nani muongo na nani mkweli. Wakiamua kukaa kimya, ni juu yao. Maana ukimya nalo ni jibu, wenye kuelewa tutakuwa tumeelewa nani mkweli! Watu wataamua cha kufanya kama ni kutiki au No reform no election.
Baada ya madai haya ya Polepole, mapema tu ukaanza mtifuano na majibizano humu.
Wapo wanaopinga hoja za Polepole kwa kudai kuwa ni muongo, mzushi, mnafiki, anatamaa ya madaraka, kwa nini aseme sasa kwani baadhi ya mambo anayoyasema yalikuwepo kwenye Serikali iliyopita wakati yeye akiwa kiongozi, wapo wanaosema akawatafute au aseme wapi alipo Ben Saa nane na wengine. Mwisho wanasema October 29 twende tukatiiki. Ali mradi kila mmoja anapuyanga kivyake.
Wapo wanaosema, Pole pole asikilizwe, wengine wanasema hakuna haja ya kushiriki uchaguzi.maana kwa mjibu wa Polepole, hata wakienda kupiga kura, hakuna maana kutokana na kuunganishwa kwa mifumo CCM, NIDA na INEC mshindi anajulikana.
Kutokana na hayo, ili tuamini kuwa Polepole ni muongo, Hawa wajitokeze ili tuwasikilize, tutajua nani muongo na nani mkweli. Wakiamua kukaa kimya, ni juu yao. Maana ukimya nalo ni jibu, wenye kuelewa tutakuwa tumeelewa nani mkweli! Watu wataamua cha kufanya kama ni kutiki au No reform no election.