johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,920
- 141,886
Ni ushauri tu.
Haiwezekani bunge liitwe la Muungano halafu Spika, Naibu Spika na wenyeviti wa kamati zote za bunge ni Watanganyika.
Wazanzibari wameachiwa nafasi moja tu ya mwenyekiti namba 3 wa bunge.
Kuna ubaya gani Naibu Spika akitokea Unguja?
Haiwezekani bunge liitwe la Muungano halafu Spika, Naibu Spika na wenyeviti wa kamati zote za bunge ni Watanganyika.
Wazanzibari wameachiwa nafasi moja tu ya mwenyekiti namba 3 wa bunge.
Kuna ubaya gani Naibu Spika akitokea Unguja?