Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Nimeshangazwa sana na uamuzi wa kumzawadia mzee Ally Mwinyi gari aina ya Mercedes lenye thamani ya mil 450.
Kwani kwa umri wake huyu mzee anahitaji gari kama hilo la nini? Kama magari aliyashayatumia sana tena ya kila namna.
Kwanini ili kuenzi utumishi wake uliotukuka usingejengwa hospitali kubwa huko Mkuranga mkoani Pwani? Na hii ingekuwa ni faida na kumbukumbu kwa taifa letu.
My take: Wasaidizi wa viongozi muwe mnawashauri vizuri kutumia rasilimali za umma.
Kwani kwa umri wake huyu mzee anahitaji gari kama hilo la nini? Kama magari aliyashayatumia sana tena ya kila namna.
Kwanini ili kuenzi utumishi wake uliotukuka usingejengwa hospitali kubwa huko Mkuranga mkoani Pwani? Na hii ingekuwa ni faida na kumbukumbu kwa taifa letu.
My take: Wasaidizi wa viongozi muwe mnawashauri vizuri kutumia rasilimali za umma.