Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mgumu sana kwa pande zote mbili, CCM na upinzani, kwa CCM ni uchaguzi wa kufa na kupona, CCM itatumia mbinu zote halali na haramu kuhalalisha ushindi, ikiona inaelekea kushindwa kwa njia halali ya sanduku la kura itatumia mbinu mbadala hata kwa kufuta matokeo kama ilivyofanya Zanzibar 2015.
Mazingira ya sasa chini ya rais Magufuli ni tofauti sana na wakati wa utawala wa Kikwete, kwa sasa upinzani hauwezi kutunishiana misuli na chama tawala, hivyo hauna budi kutumia akili za ziada kumshinda adui.
Baadhi ya akili za ziada ni Upinzani kutoa tofauti zao na kusimamisha mgombea mmoja, kuzitumia jumuia za kimataifa kuilazimisha tume ya uchaguzi kutangaza matokeo halisi, kutumia nguvu ya umma, kutumia teknolojia ya kisasa kukusanya matokeo kutoka vituoni mapema na kwa haraka zaidi, ikiwezekana ku access system ya NEC kama ilivyotokea kwa system ya IEBC Kenya kuwa (hacked) kwenye uchaguzi uliopita.
Mbinu hizi na zingine zisizoonekana wazi (aggressive) zinaweza kusaidia kupata matokeo halisi na mazuri kwa Upinzani, vinginevyo ni ngumu sana kwa Upinzani kushinda uchaguzi kwa kutegemea mbinu za kawaida za kusubiri wakurugenzi na NEC kuwatangaza washindi.
Mazingira ya sasa chini ya rais Magufuli ni tofauti sana na wakati wa utawala wa Kikwete, kwa sasa upinzani hauwezi kutunishiana misuli na chama tawala, hivyo hauna budi kutumia akili za ziada kumshinda adui.
Baadhi ya akili za ziada ni Upinzani kutoa tofauti zao na kusimamisha mgombea mmoja, kuzitumia jumuia za kimataifa kuilazimisha tume ya uchaguzi kutangaza matokeo halisi, kutumia nguvu ya umma, kutumia teknolojia ya kisasa kukusanya matokeo kutoka vituoni mapema na kwa haraka zaidi, ikiwezekana ku access system ya NEC kama ilivyotokea kwa system ya IEBC Kenya kuwa (hacked) kwenye uchaguzi uliopita.
Mbinu hizi na zingine zisizoonekana wazi (aggressive) zinaweza kusaidia kupata matokeo halisi na mazuri kwa Upinzani, vinginevyo ni ngumu sana kwa Upinzani kushinda uchaguzi kwa kutegemea mbinu za kawaida za kusubiri wakurugenzi na NEC kuwatangaza washindi.