Siasa za vyama vingi zilianza mwaka 1992 baada ya IMF na WB kutoa vipaumbele na masharti kwa nchi zitakazotaka kukopeshwa kwa wakati huo, masharti hayo ni pamoja na kuwa na soko huria na kuwa na demokrasia ya vyama vingi
Hapa Tanzania vikaundwa vyama siasa vikiwemo CUF, CHADEMA, UDP, NCCR kwaajiri ya uchaguzi wa mwaka 1995. Kwakuwa vyama vya upinzani viliundwa kwa shinikizo na si mahitaji ya raia ikapelekea waasisi na viongozi wa vyama hivyo kupandikizwa ili ionekane demokrasia ipo nchini
mfano
Mwasisi wa CHADEMA, ndg Edwin Mtei huyu alishakua waziri wa fedha enz za Nyerere CUF ikawa na Maalim Seif ambaye naye alishawahi kuwa waziri kule Zanzibar NCCR kulikuwa na Lytonga Mrema ambaye alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Kwahiyo wapinzani wa kisiasa walikua ni mamluki kutoka ktk serikali ya ccm
Siasa za maigizo na upinzani wa kutengenezwa ulianza 1992 na hadi leo upo watanzania kama wanategemea CCM kuondolewa na vyama upinzani hilo jambo haliwezi kutokea hadi upinzani wa kweli wa siasa uwepo
Itaendelea...
Hapa Tanzania vikaundwa vyama siasa vikiwemo CUF, CHADEMA, UDP, NCCR kwaajiri ya uchaguzi wa mwaka 1995. Kwakuwa vyama vya upinzani viliundwa kwa shinikizo na si mahitaji ya raia ikapelekea waasisi na viongozi wa vyama hivyo kupandikizwa ili ionekane demokrasia ipo nchini
mfano
Mwasisi wa CHADEMA, ndg Edwin Mtei huyu alishakua waziri wa fedha enz za Nyerere CUF ikawa na Maalim Seif ambaye naye alishawahi kuwa waziri kule Zanzibar NCCR kulikuwa na Lytonga Mrema ambaye alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Kwahiyo wapinzani wa kisiasa walikua ni mamluki kutoka ktk serikali ya ccm
Siasa za maigizo na upinzani wa kutengenezwa ulianza 1992 na hadi leo upo watanzania kama wanategemea CCM kuondolewa na vyama upinzani hilo jambo haliwezi kutokea hadi upinzani wa kweli wa siasa uwepo
Itaendelea...