Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,353
Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na ionekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wanacho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazotuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.
Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na ionekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?
Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wanacho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.
Nchi zetu zinazotuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !
Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.
Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.