Ili kumaliza migogoro inayoendelea Congo, inabidi malalamiko yote ya waasi yasikilizwe

Mpaka Sasa haijui kwamba Watusi wanataka kuigawa Congo ili waunde nchi nyingine ambayo wataiunganisha na Rwanda?
Au na wewe ni Mtusi? Unaandika utopolo tu.
Jambo ni moja tu, kufyeka vichwa vya watusi wote popote walipo iwe Congo , Tanzania au Rwanda. Duniani haitakiwi kuwa na kiumbe anaitwa Mtusi.
Wewe ni INTERAHAMWE Full kabisa, na hii tabia yenu ya kuua watu ovyo ovyo ndio imewafanya muishi kwa kukimbia kimbia kwenye misitu ya Congo na kwenye miji mbalimbali ya EAC. General PK ndio kiboko yenu.
 
Wewe mtusi unamjua Nyerere kuliko sisi Watanzania?
General Nkunda amesema mrudi Nyumbani, soon atawafagia !!!
Wewe saizi ya brain yako ni kama sisimizi huwezi kuelewa hizi issues. Eti "kuliko sisi Watanzania" are you sure? wadanganye wasio kujua.
 
Kwa kweli unachokisema ni kweli kabisa and it is very clear, bila ku adress madai ya M23, hii vita haitakwisha. Leta majeshi yote unayotaka, honga ma Raisi wote unaotaka wa SADEC, EAC, AU hata MONUSCO hutaweza maliza hii vita. Nini madai ya M23 na kwanini hii vita haimaliziki? Kuna jamii kubwa ya wa Congo wanao ongea Kinyarwanda ambao ndio wahusika wakuu wa hii issue, wamo Wanyamurenge, Wanya Masisi etc, wote hawa ni wa congo lakini lugha yao ni Kinyarwanda au lugha inayofanana na kinyarwanda, kama walivyo Wahangaza, Waha, Washubi etc(TZ), Wakiga (UG). Hii jamii ya wa Congo wanaoongea Kinyarwanda wamekimbia kwao (Congo) na takribani 350K wako Uganda na 200k wako Rwanda kama wakimbizi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Hawa ndio ambao vijana wao wanajiunga na M23 kila inapobidi wanarudi kudai haki yao ya kurudi nyumbani na kuachana na ukimbizi. Walikuwepo akina Nkunda, Ntaganda na sasa Makenga, mtawapiga lakini watarudi tuu. Sasa sijui Tanzania na SA watabakisha majeshi yao huko milele na milele kwani hawa watu hawataacha kupigania haki yao. In fact TZ na SA wanafanya makosa kuingilia kwenye mzozo wa wenyewe kwa wenyewe. Ni kama vile Chadema anyanyasike kupita kiasi then aanzishe varangati kutaka haki yake ndani ya TZ then baadhi ya nchi zije kuwasaidia kijeshi. Hii ni against AU na UN charters.

Bahati mbaya sana hapa kwenye hili jukwaa kuna watu wanashabikia bila hata kujua nini kinachoendelea, kwa kweli kama Baba wa taifa mwalimu J.K.Nyrere angekuwa bado hai, TZ isingepeleka majeshi kule DRC, Na Kama Nelson Mandela angekuwa hai SA isingethubutu kupeleka majeshi DRC kwenda kuisaidia Congo kupiga raia wake yenyewe kisa viongozi wana pocket few millions in dollars.
So kwa kumalizia Sababu na Madai ya M23 kwenye huu mgogoro, pamoja na kupigania haki ya watu wao zaidi ya 600k walioko ukimbizini Uganda, Rwanda na hata Kenya kwa zaidi ya miaka 25 Mengine wasikilize hawa wazee wa Busara Nyerere, Mandera na Mbeki kwenye hizi video hapa chini then utajua ni nini madai ya M23(See Attachement)
Umeeleza vizuri lakini nenda kafuatilie tena
 
Kwa kweli unachokisema ni kweli kabisa and it is very clear, bila ku adress madai ya M23, hii vita haitakwisha. Leta majeshi yote unayotaka, honga ma Raisi wote unaotaka wa SADEC, EAC, AU hata MONUSCO hutaweza maliza hii vita. Nini madai ya M23 na kwanini hii vita haimaliziki? Kuna jamii kubwa ya wa Congo wanao ongea Kinyarwanda ambao ndio wahusika wakuu wa hii issue, wamo Wanyamurenge, Wanya Masisi etc, wote hawa ni wa congo lakini lugha yao ni Kinyarwanda au lugha inayofanana na kinyarwanda, kama walivyo Wahangaza, Waha, Washubi etc(TZ), Wakiga (UG). Hii jamii ya wa Congo wanaoongea Kinyarwanda wamekimbia kwao (Congo) na takribani 350K wako Uganda na 200k wako Rwanda kama wakimbizi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Hawa ndio ambao vijana wao wanajiunga na M23 kila inapobidi wanarudi kudai haki yao ya kurudi nyumbani na kuachana na ukimbizi. Walikuwepo akina Nkunda, Ntaganda na sasa Makenga, mtawapiga lakini watarudi tuu. Sasa sijui Tanzania na SA watabakisha majeshi yao huko milele na milele kwani hawa watu hawataacha kupigania haki yao. In fact TZ na SA wanafanya makosa kuingilia kwenye mzozo wa wenyewe kwa wenyewe. Ni kama vile Chadema anyanyasike kupita kiasi then aanzishe varangati kutaka haki yake ndani ya TZ then baadhi ya nchi zije kuwasaidia kijeshi. Hii ni against AU na UN charters.

Bahati mbaya sana hapa kwenye hili jukwaa kuna watu wanashabikia bila hata kujua nini kinachoendelea, kwa kweli kama Baba wa taifa mwalimu J.K.Nyrere angekuwa bado hai, TZ isingepeleka majeshi kule DRC, Na Kama Nelson Mandela angekuwa hai SA isingethubutu kupeleka majeshi DRC kwenda kuisaidia Congo kupiga raia wake yenyewe kisa viongozi wana pocket few millions in dollars.
So kwa kumalizia Sababu na Madai ya M23 kwenye huu mgogoro, pamoja na kupigania haki ya watu wao zaidi ya 600k walioko ukimbizini Uganda, Rwanda na hata Kenya kwa zaidi ya miaka 25 Mengine wasikilize hawa wazee wa Busara Nyerere, Mandera na Mbeki kwenye hizi video hapa chini then utajua ni nini madai ya M23(See Attachement)
Tanzania na South Africa ni akili kubwa. Wanajua nini kinaendelea Congo DR. Wanaoisumbua Congo DR si wakongo.
 
Wewe saizi ya brain yako ni kama sisimizi huwezi kuelewa hizi issues. Eti "kuliko sisi Watanzania" are you sure? wadanganye wasio kujua.
Wewe ni Mtusi, na kamwe Hutokuja kuwa mtanzania.
Ukweli mchungu......
Nkunda kasema Mrudi kwenu, soon tutawaondoa Kinguvu mkishindwa kujiondoa wenyewe.

Naweza kuelezea familia Yangu Vizazi 10 nyuma?
Unaweza kufanya hivyo?
Imposter !!!
 
Wewe ni Mtusi, na kamwe Hutokuja kuwa mtanzania.
Ukweli mchungu......
Nkunda kasema Mrudi kwenu, soon tutawaondoa Kinguvu mkishindwa kujiondoa wenyewe.

Naweza kuelezea familia Yangu Vizazi 10 nyuma?
Unaweza kufanya hivyo?
Imposter !!!
Operesheni kimbunga inawahusu. Warudishwe kwao wote. Wakongomani waliwakaribisha sasa wanaisumbua nchi yao.
 
Ndio hayo malalamiko yao tuambiwe.

Mpaka sasa mbinu ya vita haijaleta haueni yoyote ile Congo na ni miaka mingi inatumika lakini hakuna kitu.

Vile vikao wanavyo kaa na waasi inabidi tujurishwe nini waasi wanataka na hapo ndipo tuangalie njia ya kutatua hayo matatizo
Je waasi ni raia wa drc?
 
Most of them unajua walisettle kule kuanzia karne ya 17 huko, tangu enzi za ufalme wa watutsi maeneo ya Rwanda na Burundi, inasemekana awali wengine walikimbia kodi ya Mwami/mfalme wa kitusi, na mavita mbalimbali yaliyoendelea baadaye, ukoloni n.k. la msingi ni kwamba, hao jamaa walikuwepo eneo hilo hata kabla ya uhuru wa Congo, hivyo ni wacongoman. walianza kubaguliwa tangu enzi za mobutu seseseko, na marais wote, na wao kama distinct group of people wenye asili ya kitutsi huwa wanaamini kama vile tu rwanda ilivyopata nchi, na wao wanatakiwa kupata lile eneo liwe nchi inayojitegemea kwasababu wao ndio wengi na wamekuwepo pale tangu kabla hata ya uhuru wa congo.
Hoja yako ina ukweli nusu, nikweli walijikuta upande wa Congo baada ya mipaka kukatwa na wakoloni, mila zao na desturi hazikubadilika mpaka leo.
Utofauti wao na ukalibu wao na Rwanda umewafanya kubaguliwa na kuchukiwa na makabila jirani.
Hii ndio sababu kubwa ya mapigano yanayoendelea kwa sasa, wanadai nafasi sawa katika serikali na ulinzi kutoka kwa makundi ambayo yanataka kuwafukuza Congo nasio kwamba wanataka kumega nchi na kujitengenezea himaya yao au kujiunga na nchi nyingine.
Mwalimu Nyerere ashaliongelea hili jambo maana huu mgogoro niwazamani hata kabla ya Kagame kuwa kiongozi wa Rwanda.
Issue ya serikali ya Congo kutumia waasi wa serikali ya Rwanda(FDRL) kupigana na M23 inaweza kuwa sababu ya Rwanda kusaidia M23 kisiraha namafunzo.
Ukitaka kujua nini wanachotaka M23 just google why the name M23.
Meanwhile the only solution nimajadiliano hata wakipigwa leo watarudi tu..
Mpaka sasa richa ya DRC kutumia majeshi ya SADC, MONUSCO,WAGNER, FDLR, BURUNDI bado hawajaweza kuwatowa hata sehemu moja.
M23 ndio kwanza inaendelea kuteka miji huku vifaa cya kijeshi vya majeshi hayo vikitekwa na kuiongezea nguvu.
 
Mpaka Sasa haijui kwamba Watusi wanataka kuigawa Congo ili waunde nchi nyingine ambayo wataiunganisha na Rwanda?
Au na wewe ni Mtusi? Unaandika utopolo tu.
Jambo ni moja tu, kufyeka vichwa vya watusi wote popote walipo iwe Congo , Tanzania au Rwanda. Duniani haitakiwi kuwa na kiumbe anaitwa Mtusi.
Kufyeka wote binafsi sikubaliani bali, bali watii mamlaka zinazo waongoza. Wakiwa Tz wafanye taratibu za Tz, wakiwa congo wafuate za Congo, vivyo hivyo na kwingine na kwingine..........Wanaokaidi wapigwe tu.
 
Solution ni mabeberu kutokuwa na upande. Hao waasi wangekatiwa misaada na mabeberu wenye maslahi nao vita ingeisha. Wanaopigana DRC ni mabeberu wenye kutaka utajiri wa DRC. DRC na Zambia zina madini mengi sana...
 
Hoja yako ina ukweli nusu, nikweli walijikuta upande wa Congo baada ya mipaka kukatwa na wakoloni, mila zao na desturi hazikubadilika mpaka leo.
Utofauti wao na ukalibu wao na Rwanda umewafanya kubaguliwa na kuchukiwa na makabila jirani.
Hii ndio sababu kubwa ya mapigano yanayoendelea kwa sasa, wanadai nafasi sawa katika serikali na ulinzi kutoka kwa makundi ambayo yanataka kuwafukuza Congo nasio kwamba wanataka kumega nchi na kujitengenezea himaya yao au kujiunga na nchi nyingine.
Mwalimu Nyerere ashaliongelea hili jambo maana huu mgogoro niwazamani hata kabla ya Kagame kuwa kiongozi wa Rwanda.
Issue ya serikali ya Congo kutumia waasi wa serikali ya Rwanda(FDRL) kupigana na M23 inaweza kuwa sababu ya Rwanda kusaidia M23 kisiraha namafunzo.
Ukitaka kujua nini wanachotaka M23 just google why the name M23.
Meanwhile the only solution nimajadiliano hata wakipigwa leo watarudi tu..
Mpaka sasa richa ya DRC kutumia majeshi ya SADC, MONUSCO,WAGNER, FDLR, BURUNDI bado hawajaweza kuwatowa hata sehemu moja.
M23 ndio kwanza inaendelea kuteka miji huku vifaa cya kijeshi vya majeshi hayo vikitekwa na kuiongezea nguvu.
sasa, kama walikuwepo kule hata kabla ya uhuru wa congo, wakakatwa na wakoloni walipogawa mipaka, wao kama watu wenye desturi za kitusi hakuwafanyi kutokuwa na haki ya kuwa wacongo, na pia, naona wana hoja nzuri tu kutaka wamegewe mkoa ili wawe na nchi yao waishi kulingana na desturi zao ambazo wacongo hawazitaki, kama zipo.
 
Kwa kweli unachokisema ni kweli kabisa and it is very clear, bila ku adress madai ya M23, hii vita haitakwisha. Leta majeshi yote unayotaka, honga ma Raisi wote unaotaka wa SADEC, EAC, AU hata MONUSCO hutaweza maliza hii vita. Nini madai ya M23 na kwanini hii vita haimaliziki? Kuna jamii kubwa ya wa Congo wanao ongea Kinyarwanda ambao ndio wahusika wakuu wa hii issue, wamo Wanyamurenge, Wanya Masisi etc, wote hawa ni wa congo lakini lugha yao ni Kinyarwanda au lugha inayofanana na kinyarwanda, kama walivyo Wahangaza, Waha, Washubi etc(TZ), Wakiga (UG). Hii jamii ya wa Congo wanaoongea Kinyarwanda wamekimbia kwao (Congo) na takribani 350K wako Uganda na 200k wako Rwanda kama wakimbizi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Hawa ndio ambao vijana wao wanajiunga na M23 kila inapobidi wanarudi kudai haki yao ya kurudi nyumbani na kuachana na ukimbizi. Walikuwepo akina Nkunda, Ntaganda na sasa Makenga, mtawapiga lakini watarudi tuu. Sasa sijui Tanzania na SA watabakisha majeshi yao huko milele na milele kwani hawa watu hawataacha kupigania haki yao. In fact TZ na SA wanafanya makosa kuingilia kwenye mzozo wa wenyewe kwa wenyewe. Ni kama vile Chadema anyanyasike kupita kiasi then aanzishe varangati kutaka haki yake ndani ya TZ then baadhi ya nchi zije kuwasaidia kijeshi. Hii ni against AU na UN charters.

Bahati mbaya sana hapa kwenye hili jukwaa kuna watu wanashabikia bila hata kujua nini kinachoendelea, kwa kweli kama Baba wa taifa mwalimu J.K.Nyrere angekuwa bado hai, TZ isingepeleka majeshi kule DRC, Na Kama Nelson Mandela angekuwa hai SA isingethubutu kupeleka majeshi DRC kwenda kuisaidia Congo kupiga raia wake yenyewe kisa viongozi wana pocket few millions in dollars.
So kwa kumalizia Sababu na Madai ya M23 kwenye huu mgogoro, pamoja na kupigania haki ya watu wao zaidi ya 600k walioko ukimbizini Uganda, Rwanda na hata Kenya kwa zaidi ya miaka 25 Mengine wasikilize hawa wazee wa Busara Nyerere, Mandera na Mbeki kwenye hizi video hapa chini then utajua ni nini madai ya M23(See Attachement)
kwan Drc wanapigana na M23 tu je M23 walikuwa na agenda gan kweny vita hii
 
ukweli mchungu ni kwamba, hii vita itaisha siku congo ikimegwa lile eneo wakapewa hawa m23. kwa bahati mbaya ndio hivo. hao banyamulenge wamekuwepo hapo tangu karne ya 17, wakaoloni wamekuja wakawa hapo, congo imepata uhuru wapo hapo na wamebaguliwa sana na serikali ya congo, kwanini wasipewe eneo lao iwe nchi?
kwann wabaguliwe wao tu ? kuna attitude mbovu walikuwa nayo dhidi ya serikali kuu
 
Wewe ni INTERAHAMWE Full kabisa, na hii tabia yenu ya kuua watu ovyo ovyo ndio imewafanya muishi kwa kukimbia kimbia kwenye misitu ya Congo na kwenye miji mbalimbali ya EAC. General PK ndio kiboko yenu.
mtu akikosoa anaitwa INTERAHAMWE?
 
sasa, kama walikuwepo kule hata kabla ya uhuru wa congo, wakakatwa na wakoloni walipogawa mipaka, wao kama watu wenye desturi za kitusi hakuwafanyi kutokuwa na haki ya kuwa wacongo, na pia, naona wana hoja nzuri tu kutaka wamegewe mkoa ili wawe na nchi yao waishi kulingana na desturi zao ambazo wacongo hawazitaki, kama zipo.
Unafahamu wao ni Asilimia ngapi ya Population pale North Kivu?
 
sasa, kama walikuwepo kule hata kabla ya uhuru wa congo, wakakatwa na wakoloni walipogawa mipaka, wao kama watu wenye desturi za kitusi hakuwafanyi kutokuwa na haki ya kuwa wacongo, na pia, naona wana hoja nzuri tu kutaka wamegewe mkoa ili wawe na nchi yao waishi kulingana na desturi zao ambazo wacongo hawazitaki, kama zipo.
Kipindi cha mobutu waliishije?
 
Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe.

Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani.

Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na waafrika wote na ionekane je, wanachopigania kina maana au upuuzi tu?

Tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuona hawana wanacho lalamikia hapo tutakuwa hatutatuwi matatizo kabisa zaidi ya kujidanganya.

Nchi zetu zinazotuma ndugu zetu( raia wenzetu) kwenda kupigana Congo lazima wananchi tujue majeshi yetu yanaenda kupigana na nani na hao wanaoenda kupigana nao wana malalamiko gani na majeshi yetu yapo sahihi kutumia mbinu za mapigano kutatua malalamiko ya hao wanao pigana nao (waasi) au laaah !

Narudia tena tusiwafunge midomo kabisa waasi na kuwapa majina mabaya pasipo kujua nini wanacho dai na kupigania.

Lazima tujurishwe nini wanadai katika mapigano yao.
Issue ya Congo chanzo chake,ni very simple, Rwanda anaiba madini, kuna makampuni makubwa ya Afrika kusini, ulaya na America, yanachimba madini pale, na hawataki ipatikane Amani, ili waendelee kuchimba madini bure! Vita ni gharama, ukiona Vita inachukua muda mrefu ujue kuna fedha,chanzo cha fedha, kibao inatumika,
Hii Vita Hawa, waasi, wa M23, wanapewa siraha na America kupitia Rwanda, kuna kampuni za mamluki za kizungu zinawapa siraha.
Dawa,hapa kwanza ni kujua wahusika wote wanaohusika, chapa risasi, in covert way! Hapo inabidi kutuma "wasiojurikana"wawinde political leaders wa, M23, chapa risasi, na, wasiojurikana sio, Hawa wa TISS CCM, wanaojua kufatafsta wanasiasa wa, chadema, wanatakiwa wale waliobobobea kama, wa, kipindi cha nyerere, na Brigadier Hashim Mbita! Sio, Hawa wavaa suti,waliovimbisha matako na vitambi!
 
Back
Top Bottom