howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 234
- 368
Kuna malalamiko kutoka kwa wataalamu wa kata ya Pasiyansi Ilemela Mwanza,kuhusu afisa mtendaji kata anaitwa Betty,alihamishwa kutoka kata ya Nyamanoro kuja Pasiyansi.
Alikotoka wataalamu wote chini yake walikuwa wanawake na alipohamishiwa(Pasiansi)pia wataalamu wote ni wanawake.
Hakuna gender balance,taarifa zilizopo ni mpango mkakati wa kuwamonopoly wataalamu hao wa kike,na ameshagombana nao wote mpaka sasa.
Zipo taarifa kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na afisa utumishi wa Ilemela hivyo kutumia nafasi yake kwa maslahi ya uhusiano wao.
Mtaalamu wa mifugo alikuwa anaumwa akihisi ni maleria akamuomba ruhusu kwenda hospitali, mtendaji alimjibu bila hiana "maleria itakucost".
Yeye ni mchelewaji sana na sio mtu wa kukaa ofisini, lakini analazimisha wataalamu wabaki ofisini na hata wenye kazi za field zaidi anawalazimisha wabaki ofisini.
Mkurugenzi wa Ilemela najua hapa JF taarifa zinafika mpaka kwa DSO,mkuu wa wilaya nk,baba huyu mtendaji amekuwa na vitisho kwa watendaji,kiburi na haonyeshi sifa kama kiungo muhimu kwa kata,ana mgogoro pia na Diwani wa kata usioisha.
Nafikiri ni vizuri asaidiwe
anaharibu civil servant.
Alikotoka wataalamu wote chini yake walikuwa wanawake na alipohamishiwa(Pasiansi)pia wataalamu wote ni wanawake.
Hakuna gender balance,taarifa zilizopo ni mpango mkakati wa kuwamonopoly wataalamu hao wa kike,na ameshagombana nao wote mpaka sasa.
Zipo taarifa kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na afisa utumishi wa Ilemela hivyo kutumia nafasi yake kwa maslahi ya uhusiano wao.
Mtaalamu wa mifugo alikuwa anaumwa akihisi ni maleria akamuomba ruhusu kwenda hospitali, mtendaji alimjibu bila hiana "maleria itakucost".
Yeye ni mchelewaji sana na sio mtu wa kukaa ofisini, lakini analazimisha wataalamu wabaki ofisini na hata wenye kazi za field zaidi anawalazimisha wabaki ofisini.
Mkurugenzi wa Ilemela najua hapa JF taarifa zinafika mpaka kwa DSO,mkuu wa wilaya nk,baba huyu mtendaji amekuwa na vitisho kwa watendaji,kiburi na haonyeshi sifa kama kiungo muhimu kwa kata,ana mgogoro pia na Diwani wa kata usioisha.
Nafikiri ni vizuri asaidiwe
anaharibu civil servant.