Ile unaingia tu chumbani alipolala mwanao

Ile unaingia tu chumbani alipolala mwanao

Sijawahi kushika nyoka lakini siku hiyo ndio itakuwa siku ya kwanza.
 
Kuna mazingira hayaepukiki mama ana kazi nyinginezo mtoto kalala sehemu salama ya kumlaza ni chumbani

Hivi hakuna aina yoyote ya jini mahususi kwa ajili ya ulinzi kwa watoto? Nimeuliza tu kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa haya madude!
 
mkuu mshana kwanini nyoka hadhuru watoto wadogo,,.ni muda mrefu naisikia hiii nadharia lakini sijawahi pata maelezo toshelezi
Sio nyoka tu hata tembo,wakati nikiwa mdogo nakumbuka 1994 tembo walivamia kijijini kwetu wakachelewa kurudi mbugani wakarudi asubuhi,wakaitwa wahusika maliasili wakamuua tembo mmoja,walicharuka hatari waka-attack home kwetu sasa ktk purukushani zakukimbilia ndani tukamsahau nje mtoto mdogo alikuwa na miezi 11,yule mdudu alipomfikia alimtazama huku dogo anamchekea hakumfanya chochote akarudia palepale wakati sisi tuliokuwa tunachungulia kwenye ventilation tukijikolea ndani,nakumbuka baba wa mtoto alilia kama mtoto mdogo.
 
Sio nyoka tu hata tembo,wakati nikiwa mdogo nakumbuka 1994 tembo walivamia kijijini kwetu wakachelewa kurudi mbugani wakarudi asubuhi,wakaitwa wahusika maliasili wakamuua tembo mmoja,walicharuka hatari waka-attack home kwetu sasa ktk purukushani zakukimbilia ndani tukamsahau nje mtoto mdogo alikuwa na miezi 11,yule mdudu alipomfikia alimtazama huku dogo anamchekea hakumfanya chochote akarudia palepale wakati sisi tuliokuwa tunachungulia kwenye ventilation tukijikolea ndani,nakumbuka baba wa mtoto alilia kama mtoto mdogo.
duuuuh
 
Ukikuta hivyo lzm ufikiche macho km kuona kwel. Umepiga viroba au laah
 
Huyu nyoka dawa yake mletee yule kiumbe anaitwa Honey badger utaona anakufa kabla...honey badger anampiga nyoka yeyote pigo moja tu chali..iwe cobra au hata black mamba wote wanapigwa balaa...
 
Hivi ni kwa nini watoto huwa wahashambuliwi na viumbe kama nyoka, mbwa n,k😕

Nahisi hata mtu mzima akiwa amelala bila kujua nyoka yupo jirani nyoka hawezi kumng'ata isipokuwa atakaposhtuka ndo taharuki na hapo kung'atwa ni lazima.
Nyoka na wanyam wengine wengi huweza ku sens hormon inayo zalishwa na mwili kipindi ukiwa kwenye state of emergency so wao huhisi wew ndie hatari kwao so wanaanza ku atack ili kujilinda
 
Mhhh...hapo lazima nijitose kumrukia nyoka kichwani maana sitaweza kuvumilia eti nimwache nione atafanyaje.kwanza hapo huwezi kujua kama tayari kishamgonga mtoto ama ndo anaandaa sumu.
 
Mhhh...hapo lazima nijitose kumrukia nyoka kichwani maana sitaweza kuvumilia eti nimwache nione atafanyaje.kwanza hapo huwezi kujua kama tayari kishamgonga mtoto ama ndo anaandaa sumu.
Hapo una create negative vibrations kwahiyo badala ya kwenda kwa mtoto atarudi kwako full full....mwenye spidi ndio atamuwahi mwenzake
 
Kiumbe chochote hatari kinapokuwa na mtoto usipanic hawezi kumdhuru. Ondoka jifanye hujamuona.

Qsm;
Samahani tu naomba kukuuliza we ni me au ke?
Kumbuka, yahitajika zaidi ya ujasiri, yahitajika kujikana. Mfano; Ukute ni ke, uliolewa na kwa miaka 7 hukupata huyo mtoto. Mawifi zako uliwavumiliaje? Wakwe zako uliusikilizaje mziki wao?
Leo unaingia tu chumbani, macho ni kwa mtoto halaf ukamkuta huyo njemba kamzungukia mtoto ka hivyo. Hayo mawazo yako ndiyo yangelikujia?
Nadhani ni mawili kati ya haya; 1. Yoweeeeee hadi paa ipasuke 2. Kuzimia kabisaaaa hapo hapo mlangoni.
Nawajua kina mama walivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom