Ile unaingia tu chumbani alipolala mwanao

Ile unaingia tu chumbani alipolala mwanao

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,491
Reaction score
860,454
e43b8c7754482666a353da7ffa81d1ae.jpg
 
Wazazi tunajua, unaweza sababisha madhara labda huyu wa 'USA baby' lkn wa jiji letu pendwa na joto lile utakuta kamefurukuta kamejiziba pua.
Asante kwa hili na kwa ruhusa yako naomba niibe hakimiliki nikaliseme hili pahala kule kwenye mada ya watoto
 
Nyoka hadhuru watoto hata siku moja labda awe wa kutumwa

Mkuu sidhani kama ni nyoka wote., vipi kuhusu yule nyoka kichaa Black mamba?? niliona video moja anapita akakuta simba kafa lakini akagonga kama mara mbili hivi then akatembea. Sasa kama yule akimkuta mtoto na ametoka kula majani yake ya bangi si anafanya yake then anasepa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom