WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,018
Hivi ni kwa nini watoto huwa wahashambuliwi na viumbe kama nyoka, mbwa n,k😕
Inaweza kuwa kuna kiumbe kilimkorofisha alipo toka hukoMkuu sidhani kama ni nyoka wote., vipi kuhusu yule nyoka kichaa Black mamba?? niliona video moja anapita akakuta simba kafa lakini akagonga kama mara mbili hivi then akatembea. Sasa kama yule akimkuta mtoto na ametoka kula majani yake ya bangi si anafanya yake then anasepa??
Angemkuta mtoto wa simba asingemfanya kitu...halafu kumbuka wanyama wana visasi vibaya na hawasahau mfanyie noma leo lakini baada ya miaka kadhaa akikutana hata na maiti yako lazima ailetee figisuMkuu sidhani kama ni nyoka wote., vipi kuhusu yule nyoka kichaa Black mamba?? niliona video moja anapita akakuta simba kafa lakini akagonga kama mara mbili hivi then akatembea. Sasa kama yule akimkuta mtoto na ametoka kula majani yake ya bangi si anafanya yake then anasepa??
hahahahaaa., bangi mbaya sana, sasa kaudhiwa huko afu anagonga mizoga??Inaweza kuwa kuna kiumbe kilimkorofisha alipo toka huko
Hahahahahaaa., ila kwa akili za yule bwana mkubwa inawezekanaNyoka alidhani simba anazuga kufa
ndio raha ya jf hata bila kuchangia burudani inakuingia tuhahahahaaa., bangi mbaya sana, sasa kaudhiwa huko afu anagonga mizoga??
Huhitaji kupanic,we toka tu nje au fuatilia alikoelekea huyo nyoka na kumuua.
Sistuki yupo na Ndugu zake
mkuu mshana kwanini nyoka hadhuru watoto wadogo,,.ni muda mrefu naisikia hiii nadharia lakini sijawahi pata maelezo tosheleziNyoka hadhuru watoto hata siku moja labda awe wa kutumwa