Ilani ya CCM: Kituo kikubwa cha Biashara kujengwa Ubungo ilipokuwa stendi ya mkoa, mwekezaji asaini mkataba Chadema walituchelewesha!

Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
Na kile kiwanda kikubwa kuliko vyote Duniani cha kutengeneza mikokoteni ya kuvutwa na ng'ombe kilichozinduliwa na waziri wa uwekezaji bwana Kitila, nacho kitahamia hapo? Chenyewe kimetoa ajira elfu ngapi?
 
Ni kweli kabisa na anaweka wasi , tatizo la Chadema ni uongozi na sio wanachama.
CCM inasema inawanachama wengi kinachoshangaza Ni wao kununua wanachama kwa Bei mbaya na Kisha kuwapa nafasi za uongozi wa juu.
Sababu inaweza kua, wengi katika CCM hawafai uongozi ndio maana wanakuja kupoach big brains huku.
Wakae wakijua kwamba ONCE A COP, ALWAYS A COP. Wote Hawa kina Mkumbo, Silinde, Nani yule mpenda beer baridi mzee wa Kanda maalum, naibu wa Dada doro, Juakali, watarudi Chadema wakimaliza kazi tuliyowatuma. Watch this space.
 
Ngoja tuone!
Anzia hapa kupiga akili.

Hivi eneo kama hilo haliwezi kutumika kutafuta utatuzi wa swala zima la "Machinga" walioko mitaani?

Ni mipango ipi inaweza kufanyika kwenye eneo hilo ili kutatua tatizo lililopo sasa linalowahusu "machinga" wa Dar es Salaam.

Sijaandika hapa kuwa ndio liwe eneo la uchuuzi na kuuza bidhaa kama wanavyofanya sasa hivi katika maeneo mbalimbali; lakini je, kuna mambo gani yanayoweza kufanyika katika eneo hilo yakiwahusu hao jamaa!

Ningependa kusikia wewe unapendekeza yapi.
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
Ni tofauti na ubungo business park iliyopo shekilango ?
 
CCM inasema inawanachama wengi kinachoshangaza Ni wao kununua wanachama kwa Bei mbaya na Kisha kuwapa nafasi za uongozi wa juu.
Sababu inaweza kua, wengi katika CCM hawafai uongozi ndio maana wanakuja kupoach big brains huku.
Wakae wakijua kwamba ONCE A COP, ALWAYS A COP. Wote Hawa kina Mkumbo, Silinde, Nani yule mpenda beer baridi mzee wa Kanda maalum, naibu wa Dada doro, Juakali, watarudi Chadema wakimaliza kazi tuliyowatuma. Watch this space.
Hakuna aliyewatuma huko walienda kwa njaa zao tu
 
CCM inasema inawanachama wengi kinachoshangaza Ni wao kununua wanachama kwa Bei mbaya na Kisha kuwapa nafasi za uongozi wa juu.
Sababu inaweza kua, wengi katika CCM hawafai uongozi ndio maana wanakuja kupoach big brains huku.
Wakae wakijua kwamba ONCE A COP, ALWAYS A COP. Wote Hawa kina Mkumbo, Silinde, Nani yule mpenda beer baridi mzee wa Kanda maalum, naibu wa Dada doro, Juakali, watarudi Chadema wakimaliza kazi tuliyowatuma. Watch this space.
Acha kujidanganya, na wala usijitie hofu kwamba kwa sababu hao mafala wamehamia ccm basi CHADEMA itakufa au itapoteza uungwaji mkono na wananchi.

well, CHADEMA inaweza poteza uungwaji mkono au hata kufa kutokana na hizo moves za hao mafala, sababu wananchi hufuata maelekezo ya viongozi wao, sasa unapokuwa na viongozi wachumia tumbo ni shida sana.

ILA, Upinzani hauwezi kufa na ipo siku, ipo siku upinzani utaiondoa ccm madarakani. hata kama ni miaka 100 baadae, tunaielekea siku hiyo. hivyo usiogope, ... unasikia??
 
Tanzania naijua sana watawapata nyie tu imagine tuliambiwa SGR Dar to Moro itaanza November sijui wewe unaonaje.
Kiongozi. Nikukumbushe mradi ulikua ukamilike November 2019 wakati mwendakuzimu alikua bado anapumua. Sasa hivi Ni 21 na hayupo.
Wenye mabasi na malori hawawezi kuruhusu huu mradi ukamilike maana kitumbua Chao kitagusa udongo.
Wenye mabasi na malori ndio hao hao unao waona kwenye v eit.
Mfano mzuri Ni Madera, huyu ana mabasi Yana jina la kike.
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
Halafu stand kuu ya mwendo kasi wataipelekea wapi? Tanzania tunakuaga na mipango kurupushi balaa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Anzia hapa kupiga akili.

Hivi eneo kama hilo haliwezi kutumika kutafuta utatuzi wa swala zima la "Machinga" walioko mitaani?

Ni mipango ipi inaweza kufanyika kwenye eneo hilo ili kutatua tatizo lililopo sasa linalowahusu "machinga" wa Dar es Salaam.

Sijaandika hapa kuwa ndio liwe eneo la uchuuzi na kuuza bidhaa kama wanavyofanya sasa hivi katika maeneo mbalimbali; lakini je, kuna mambo gani yanayoweza kufanyika katika eneo hilo yakiwahusu hao jamaa!

Ningependa kusikia wewe unapendekeza yapi.
Hizo flemu walizojenga ndio umachinga wenyewe!
 
Na machinga complex ilikuwa ikisifiwa hivi kuwa ikimalizika hakuna machinga ataonekana mitaani.
Machinga Complex ni ya kubomoa Yale mabanda ya kufugia simba na kuikamilisha!! Kuweka historia sawa Mbunge "Zungu Hassan" ndio alikuwa kikwazo kwa hii Machinga Complex kukamilika ujenzi! Siasa ni Mbaya Sana kwa maendeleo ya Nchi
 
Binafsi ilikua makosa kupeleka Mbezi kituo kile ni usumbufu mkubwa kwa wananchi,metros na mega cities vituo vipo katikati yao ili kurahisisha kila mtu kufikia rahisi
 
Back
Top Bottom