Ila ndugu zetu serikali muangalie jamani, muwajengee DAWASA jengo la bilioni 48, ila wananchi wa Dar wachote maji kwenye madimbwi kweli?

Ila ndugu zetu serikali muangalie jamani, muwajengee DAWASA jengo la bilioni 48, ila wananchi wa Dar wachote maji kwenye madimbwi kweli?

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,896
Reaction score
7,522
Embu muangalie waungwana...Kuna vitu vingine hata MABEBERU watakua wanatucheka na kutudharau sana na kutuita we are so poor..

Kuna vitu jamani mbona vinafanyika tukiamua? Haya basi mnakula mapesa ila tukumbukeni na wananchi , tunakosa hata maji ya kutawaza, wakati mwingine mtu unabana mavi mda mrefu ili usitumie maji kwa wingi...mateso Gani haya wajameni?

Mimi mkinipa hio bilioni 48 , hakuna nyumba dar nzima itakosa maji safi na salama.
 
Embu muangalie waungwana...Kuna vitu vingine hata MABEBERU watakua wanatucheka na kutudharau sana na kutuita we are so poor..

Kuna vitu jamani mbona vinafanyika tukiamua? Haya basi mnakula mapesa ila tukumbukeni na wananchi , tunakosa hata maji ya kutawaza, wakati mwingine mtu unabana mavi mda mrefu ili usitumie maji kwa wingi...mateso Gani haya wajameni?

Mimi mkinipa hio bilioni 48 , hakuna nyumba dar nzima itakosa maji safi na salama.
Ivi nikweli wamejengewa jengo la billion 48? itakuwa uongo
 
Kinachosikitisha tatizo linajirudia na tena linakubuhu. Reli ya kisasa imegharimu zaidi ya trillion 20 na hatuna maji. Yanakera kupita maelezo na miphd zao uchwarwa huku vichwa vimejaa usaha na uji uliochacha.

Fakyuol
 
hata irani pia hakuna maji wanataka kuukimbia mji wa tehran, sijui hawa watu huwa maji wanayafanya nini? kwa maana yalikuwepo tena kwingine hadi mabomba karibia yapasuke kwa pressure kubwa lkn hii yamekauka yoote ...
 
Back
Top Bottom