maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,318
- 5,678
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Mtuhumiwa baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama dakika mbili kwa kutembea. Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa. cc nifah
==========
JamiiForums ilipowasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amesema: “Ni tukio la kweli na limeshatufikia, mwenye mamlaka ya kutoa taarifa zaidi ni RPC Jumanne Muliro, wasiliana naye atakupa taarifa na tayari ameshalizungumzia.”
Pia soma: Polisi wamtaka aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goma Center
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Mtuhumiwa baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama dakika mbili kwa kutembea. Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa. cc nifah
==========
JamiiForums ilipowasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amesema: “Ni tukio la kweli na limeshatufikia, mwenye mamlaka ya kutoa taarifa zaidi ni RPC Jumanne Muliro, wasiliana naye atakupa taarifa na tayari ameshalizungumzia.”
Pia soma: Polisi wamtaka aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goma Center