chupa

Chupá is a corregimiento in Macaracas District, Los Santos Province, Panama with a population of 520 as of 2010. Its population as of 1990 was 637; its population as of 2000 was 564.

View More On Wikipedia.org
  1. Ngatoluwa

    Chupa za kuwekea wine

    Wakuu naombna mnisaidie, nahitaji chupa za kuwekea wine za glass. Hata kwa kununua.
  2. Mhafidhina07

    Video za wadada kukalia chupa zimeathiri bidhaa katika soko?

    Wanazengo mnaendeleaje? Wenye kumbukumbu wanakumbuka video tofauti ambazo ziliwaonesha baadhi ya wanawake wakichezea chupa za soda mfano mirinda kwa ustadi wa hali ya juu kitu ambacho kiliwastaajabisha watu na kuanza kuitaja soda fulani kama matani au mzaha Japo siyo jambo geni ila miaka...
  3. Erythrocyte

    Maajabu: Aliyehubiri Injili aswekwa jela, anayewapachika chupa watu makalioni aachiwa huru

    Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni Toa maoni yako
  4. S

    Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

    1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce . Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu...
  5. S

    Inawezekana wanaotekwa huingiziwa chupa makalioni na kukaa kimya, wakadhani na huyu kijana nae angekaa kimya

    Alichofanyiwa huyu kijana, huenda kinafanywa kwa watu wengi wakiwemo wale waliokuwa wanatekwa na watu wasiojulikana. Na katika kulinda heshima zao katika jamii, wahanga hawa huchagua kukaa kimya kuliko kuesma hadharani vitendo walivyofanyiwa. Kwa mtazomo huo, ni imani yangu hata waliomuingizia...
  6. A

    kuingizwa chupa njia kuu si ubinadamu

    Ukatili wa kuingizwa chupa watuhumiwa njia kuu Nani ameasisi? Hili halikubali. **Polisi Babati kama kuna aliyehusika asimamishwe kupisha uchunguzi
  7. A

    Ukatili wa kijinsia-Kuingiza chupa sehemu ya haha kubwa

    Kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa ni ukatili uliopitiliza. Dogo Leo hii Hana marinda Tena. Wahusika wapelekwe mahakaman na 2025 Chama kifanye yake
  8. BARD AI

    Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

    Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa. Hashimu Ally anadai, Pauline...
  9. Roving Journalist

    NEMC imetoa mwezi mmoja kwa viwanda vinavyozalisha Chupa za plastiki zenye rangi kuweka utaratibu wa kukusanya na kuhifadhi chupa hizo

    Baraza la Usimamizi na Utunzaji Mazingira Nchini NEMC imetoa mwezi mmoja kwa viwanda vinavyozalisha chupa za plastiki zenye rangi kuweka utaratibu wa kukusanya na kuhifadhi chupa za rangi ambazo zimekuwa zinachafua mazingira kwa kuzagaa maeneo mbalimbali. Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la...
  10. B

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa design yangu ya chupa za plastiki?

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa aina ya chupa za plastiki design ninayoitaji mwenyewe?
  11. emmarki

    Kemikali gani huyafanya maji yawe na ladha nzuri kama yanayouza kwenye chupa?

    Habari, Kwenu watalaamu, naomba kufahamishwa ni chemical gani ninaweza kutumia ili kutafanya maji ya bombani (dawsco) yawe matamu kama yanayosambazwa na chupa..mfano Hill water, masafi Afiya...nk. Naomba kufahamu upatikanaji wake, bei, muuzaji.
  12. Balqior

    Chupa ya chai na vikombe vya chai juu ya makaburi ni uchawi wa aina gani?

    Nilipita njia ya makaburini, nikakuta kwenye baadhi ya makaburi kwa juu kumewekwa chupa ya chai na vikombe vya chai, kuna moja ya wazee waliopo hapo maeneo ya karibu aliniambia hizo chupa na vikombe unaona vimechoka ila kwenye ulimwengu wa roho hizo ni chupa mpya na vikombe vipya kabisa...
  13. benzemah

    Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete: Kunyweni angalau bia tatu tu kwa siku

    Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeshauri jamii kupenda kufanya mazoezi, kupunguza kula vyakula vya sukari, wanga na kusisitiza kwa wanywaji wa bia, kunywa angalau tatu kwa siku ili kujilinda na ugonjwa wa moyo. Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Dk Peter Kisenge amesema hayo leo Jumatatu...
  14. Awiaman ooza

    Ronaldo hakuwa mjinga kusogeza pembeni chupa 2 za cocacola

    Wakuu za sahizi, Nadhani mnakumbuka lile tukio lililofanyika 2021, la mchezaji cr7 alivyokuwa akihojiwa na akasogeza chupa 2 za coca akasema tutumie maji Basi asee juzi kati hapa nimepitia baadhi ya threads humu nikakuta watu wanasema bidhaa za mo extra ya kuwa zina athiri maini Na jinsi...
  15. GENTAMYCINE

    TBS mnatufikiriaje Watanzania tunaokunywa Soda za Pepsi na Coca za Chupa Kawaida zenye kutu nyingi sehemu ya Kizibo?

    Sasa hivi imekuwa ni Kawaida kwa GENTAMYCINE kila nikibahatika ama kunywa Soda ya Coca Cola au Pepsi Cola nikiifungua tu Kukaribishwa Kiukarimu na Chupa yenye Kutu ya Kutukuka Kiziboni (sehemu ya Kunywea) TBS mko wapi? Hii ni halali Kwetu Walaji? Kwanini hamtusaidii Wanyonge (Masikini) akina...
  16. R

    Biashara ya kurejesha (recycling) vifuniko vya chupa

    Habari wakuu. Naomba mwenye kujua kampuni inayofanya recycling ya vifuniko vya chupa (metal bottle caps) anijuze. Natanguliza shukrani.
  17. Roving Journalist

    Wanafunzi 1000 wajitokeza kuchangia damu, chupa 600 za damu zapatikana katika Kampeni ya KISUTU GIRLS BLOOD DRIVE

    Zaidi ya Wanafunzi 1000 kutoka Shule mbalimbali za Sekondari jijini Dar es Salaam wamejitokeza katika tukio la uchangiaji damu wa hiari lililofanyika katika Viwanja vya Shule ya Kisutu ambapo zaidi ya chupa 600 za damu zimepatikana. Tukio hilo la uchangiaji damu wa hiari limeratibiwa na Shule...
  18. R

    Kwanini hakuna recycling ya vifuniko vya chupa (metal bottle caps?)

    Habari wakuu, Kila mara nikikaa sehemu ya kuuza vinywaji na kuona jinsi vifuniko vya chupa za soda au bia vinavyozagaa na baadae kutupwa jalalani huwa najiuliza hakuna namna ya kufanya recycling na baadae kutengeneza metal products zingine? Hakuna kiwanda hapa Tanzania chenye teknolojia hii?
  19. marehem x

    Eti soda unaipanua, chupa ya maji unaifungua na kufunga

    Wajameni. Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo. Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali" Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi na konyagi kaschana. " Serengeti Moja au mbili." ? Mimi. "Mbili" Muhudumu. " Nii panue?" Mimi...
  20. Program Manager

    Mwanamke akiniacha ni kama tu nimetupa chupa ya maji ambayo tayari nimeyanywa

    Iko hivyo. Mimi sina kabisa muda wa kulia lia eti kisa demu ameniacha. Mimi sina hizo habari za kulazimisha eti demu anipende,sina huo muda kabisa. Mimi demu nikishamla hapo ni yeye ndo ataamua kama tuendelee au tumwagane. Demu tuliyejuana ukubwani akiwa ametunguliwa mishale kibao kwangu...
Back
Top Bottom