Ila Mahakamani😃😃😃😃

Ila Mahakamani😃😃😃😃

IMG-20260915-WA0459.jpg
 
"Sheria ni kama utandu wa buibui, kama upo imara utatoboa, kama upo dhaifu, utanasa"...

Sina hakika kama nimenukuu kwa usahihi.

Ila huu ndio uhalisia.

Kusema hakuna aliye juu ya sheria ni uongo namba moja Duniani.

Kila mtu ni muovu, ila "Mfungwa ni mtu asiye na hatia akafungwa, na asiye na hatia ni mfungwa ambaye bado hajafikishwa jela"....

Makofi. 👏👏👏
 
Back
Top Bottom