Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Huku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Au mnasemaje wakuu?
Au mnasemaje wakuu?
Wild Flower Hakikisha chawa yeyote halambi kituHuku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Kwani NI lazima Watu wote wawe na mtazamo mmoja? Mbona kama kuna kulazimishana lazima Kila Mtu afate msismamo msismamo WA kundi flani,Maana kama Hao NI machawa naww itakuwa nichawa kwa unachokitetea,Huku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Au mnasemaje wakuu?
Tatizo njaa,tusipo wapa uroda familia zetu zitakula wap😥Huku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Au mnasemaje wakuu?
Kuna unachokimaanisha zaidi hapaTatizo njaa,tusipo wapa uroda familia zetu zitakula wap😥
Ndio,na nafikiri umenielewa vyemaKuna unachokimaanisha zaidi hapa
Hao machawa wagawa jicho kwa madoni kwaiyo wanapesa nyingi sana za kuhongaHuku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Au mnasemaje wakuu?
🤣🤣 Acha bhanaTatizo njaa,tusipo wapa uroda familia zetu zitakula wap😥
😅😅uroda kama uroda🤣🤣 Acha bhana
mh!😅😅uroda kama uroda
Jaman si uroda tu
aaaaahJaman si uroda tu
😒aaaaah
So bit
Unataka wafe njaa au wewe utawapa mbadala wa kusavaivu mjiniHuku tukiendelea kukomboa nchi dada wa Bongo mngeunga juhudi zetu muwanyime hawa jamaa Chawa wa mama uroda itasaidia kuspeed up mabadiliko.
Au mnasemaje wakuu?
🙄So bit
Kiasi chakeNdio,na nafikiri umenielewa vyema