Hawa ujanja wao wakiwa mjengoni,wakitupwa nje utawaonea hurumaMadeni
Ela huwa wanagawana na Waganga hawa 😂Mtu ameshiba mamilioni ya pesa miaka 5 tu, na pensheni mamilioni ya fedha
Anatoa wapi madeni?
Huyu Kaka analia kuliko mimi chaaa!😂😂😂Akifungua kampuni ya kulia kwenye misiba atapiga hela sana
Hawana lolote hao walivyokuwa Vilaza badala ya kuanzisha biashara za pembeni side hustle wao wanajisahauHawa ujanja wao wakiwa mjengoni,wakitupwa nje utawaonea huruma
Ova
Hee 😳Ela huwa wanagawana na Waganga hawa 😂
Amani ya moyo hawana hawa
AmewezaHahahaha😂😂😂 chake ni kipaji
Unaongea kwakuwa ujaingia umo ndaniHee 😳
Yaani ningekuwa mimi mshahara miaka 5 na pensheni juu
Ningetoka hapo namshukuru tu Mungu na kwenda kufanya mambo yangu mengine.
Anatoka hapo na mikopo kibao sasa hajui atailipaje?Hee 😳
Yaani ningekuwa mimi mshahara miaka 5 na pensheni juu
Ningetoka hapo namshukuru tu Mungu na kwenda kufanya mambo yangu mengine.
Kuipata ile nafasi uwe na imani kweli hasa hiki chama tawala 🤣Hee 😳
Yaani ningekuwa mimi mshahara miaka 5 na pensheni juu
Ningetoka hapo namshukuru tu Mungu na kwenda kufanya mambo yangu mengine.
Mikopo wanaitoaga wapi?Anatoka hapo na mikopo kibao sasa hajui atailipaje?
Rushwa imetawala sanaKuipata ile nafasi uwe na imani kweli hasa hiki chama tawala 🤣
Hivi huwa wanapatwa na nini jamaniUnaongea kwakuwa ujaingia umo ndani
Rushwa imetawala sana
Watu wanapambana kuwaridhisha wajumbe
Matumizi pia +anasaM
Mikopo wanaitoaga wapi?
Mbona wana hela nyingi sana wanapata