Ila kuna watu wana machozi ya karibu

Ila kuna watu wana machozi ya karibu

Huuu moshiii mweusi au mweupe jamani maana ukiona mtu mzima anaria ujue kuna jambo jamani ubunge laah,kibaka wa Siasa hii ndiyo Ccm/No Reform no Election hivi bungeni kuna nini jamani🤣🤣🤣View attachment 3402016
Siasa za tz kaa mbali nazo wenye akili hawana makuu... una onjeshwa una temwa.. huyu analia mengi wala sio ubunge mtaelewa baadae
 
Huuu moshiii mweusi au mweupe jamani maana ukiona mtu mzima anaria ujue kuna jambo jamani ubunge laah,kibaka wa Siasa hii ndiyo Ccm/No Reform no Election hivi bungeni kuna nini jamani🤣🤣🤣View attachment 3402016
Mkurya gani huyu analia kama mtoto wa mama Lucas Mwashambwa! 😀

Yaani hapo analilia tu zile posho za bure, na pia bata la Dodoma! Hakuna uzalendo wala nini.
 
Mini nilifiwa na watu wangu wa karibu watatu sikulia kabisaa na ni miaka zaid ya kumi

Ila week iliyopita nimewalilia siku nzima na siji kulia tena!
 
Pole waitara Ila kuna maisha nje ya siasa , andaa mashamba mapema
 
KUMBUKIZI: Huuu moshiii mweusi au mweupe jamani maana ukiona mtu mzima anaria ujue kuna jambo jamani ubunge laah,kibaka wa Siasa hii ndiyo Ccm/.... SASA NI No Reform no Election hivi bungeni kuna nini jamani🤣🤣🤣View attachment 3402016
Huu ni upuuzi. Kwani hajui ubunge yeyote anaweza kupata? Kajiajiri mtaji anao. Kila siku wanaimba vijana wajiajiti ni wakati wa kuonyesha mfano 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom