Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,781
- 24,102
Nilimwona makonda na sabaya wakitokwa na machozi jamaa aitwaye jiwe alipokata moto,,
Tuhesabu suala la kulia labda ni la kisiasa zaidiKUMBUKIZI: Huuu moshiii mweusi au mweupe jamani maana ukiona mtu mzima anaria ujue kuna jambo jamani ubunge laah,kibaka wa Siasa hii ndiyo Ccm/.... SASA NI No Reform no Election hivi bungeni kuna nini jamani🤣🤣🤣View attachment 3402016
Hii kitu huleta machozi karibu sanaAtakuwa ameshapiga Jibapa
KUMBUKIZI: Huuu moshiii mweusi au mweupe jamani maana ukiona mtu mzima anaria ujue kuna jambo jamani ubunge laah,kibaka wa Siasa hii ndiyo Ccm/.... SASA NI No Reform no Election hivi bungeni kuna nini jamani🤣🤣🤣View attachment 3402016
Kama umekaa na watu wanaokunywa pombe hilo jambo la kawaida Mkuu .
Sema Huyu kumaa alibidi kuwa muigizaji
Kwanini nyie walevi huwa mnalia Sana mkilewa ?It happens
Linalia nini Sasa?
Akajiajiri na yeye kama tulivyojiajiri watoto wa masikini sisi.
Mtu ameshiba mamilioni ya pesa miaka 5 tu, na pensheni mamilioni ya fedhaMadeni