Na hivi amehama chama mtatafuta ushahidi wa uongo kwa kila namna ili mummalize kabsa..anzeni kwanza na hao walipo madarakan kwa kuwachunguza na kuwashtaki ndio mmalize na mzee wa maamuz magumu
R.I.P CCM
Mkuu jeuri hiyo hawana, lowassa sio wa kumchezea nina imani amejiandaa vya kutosha kukabiliana na mizengwe yoyote atakayofanyiwa.Huo uchunguzi wanaosema umekamilika ni baada ya lowassa kuhama ccm mbona mpaka leo uchunguzi wa stanbic ya escrow haujakamilika?