Huwezi kumpiga panya akiwa kabatini. Utavunja viombo. Anatoka kwanza ndio rungu linafuata
Nenda mahakamani wewe KITATANGE, tutakutana huko!
Na hivi amehama chama mtatafuta ushahidi wa uongo kwa kila namna ili mummalize kabsa..anzeni kwanza na hao walipo madarakan kwa kuwachunguza na kuwashtaki ndio mmalize na mzee wa maamuz magumu
R.I.P CCM
Uchunguzi ulikuwa haujakamilika umekamilika sasa mda wowote atatakiwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi wa nchi.
Ujumbe huu mwanana umeujua lini? Katika mazingira gani? Je reference yako ni kwa nani? Nakuhurumia kwa sababu inaonekana hujajipanga kwa vile umeshakuwa nje ya wakati na matukio yameshakupita. Mwl. Nyerere aliwahi kusema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne yaani "Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi bora" Je ni nini kinachokosekana tangu tujipatie Uhuru zaidi ya miaka 54 ilopita?
Uchunguzi ulikuwa haujakamilika umekamilika sasa mda wowote atatakiwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi wa nchi.
Siwezi kufanya hivyo asilani, Ila nasimamia haki ilipo. Lowassa jana aliwaambia ninyi na wenzio mtangulie mahakamani, nashauri mngefanya hivyo badala ya kuigeuza JF kuwa kijiwe cha porojo!Siku hizi umehamia Ukawa.
ikulu sio pango la wezi. Kaa ukijua hilo. Na mtu anaye taka kwenda ikulu kwa namna yoyote tumuepuke kama ukoma. Huyu ni mwizi na jambazi kamwe hawezi kuwa safi.
Kwa maana hiyo unatetea wizi wa huyo EL?
na isitoshe IKULU sio wodi ya wagonjwa[/ mkuu ugonjwa upi huo twambie tujue
Uchunguzi ulikuwa haujakamilika umekamilika sasa mda wowote atatakiwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi wa nchi.
Kwahiyo KIKWETE anaweza kwenda kuungana na BABU SEYA muda wowote kuanzia sasa?.Uchunguzi unataratibu zake. Mda mwafaka unapofika unatolewa na kufikishwa mbele ya sheria ili mtu aweze kula mvua.