Daniel son
Member
- Jun 6, 2017
- 24
- 23
Kwa usenge kwenye list hakuna hata CHADEMA moja so uwizi wao unatoka wapi kama we naye mtoa mada ni boya tu
duh mimi simo. anything possibleDr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
Labda kama Yesu atarudi leo; otherwise ni usanii kama wa joti kukaa shela hawezi kuwa mwanamke hata siku moja. Hana uwezo wa kumpeleka mahakamani major JK huyo. HanaDr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
Msiwasahau waliokuwa wanasema ndioooooooooDr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
mbona mpaka sasa chenge hajajiuzuru?Dr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
mbona mpaka sasa chenge hajajiuzuru?Dr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
Tunaomba pia na wale wote waliokuwa wanalipwa elfu saba ili kuteyea huku kwenye mitandao nao pia wahusishwe kwenye kesi. Akiongozwa na troll, wakudadavua, lizaboni, faiz foxy and co.Dr. Magufuli ameshaamua Kuwaburuza Mahakani Wote waliohusika katika kufanikisha Wazungu kutuibia Madini Wanaotajwa ni Wanasheria wakuu wa Awamu zilizopita, Mawaziri wa Nishati na Madini.
Kama Ilivyo watuhumiwa wa wizi huwa wanapata hasira na Kukimbilia CHADEMA huko Kubadilishwa majina na kuitwa majembe!
Ninawatakia Maisha mema ndani ya CHADEMA wadokozi hawa walioigharimu Nchi kwa Muda Mrefu.Kila Mtu atabeba mzigo wake.
Magu hawezi kumgusa Chenge.
Kwan kujikata mkia haiwezekani mkuu?Hahahaha hakuna wa kumtoa fisadi ccm chenge ni master wao mwenyekiti wa bunge la ccm yani ccm wajikate mkia?
Magu hawezi kumgusa Chenge.
kweli kabisaMagu hawezi kumgusa Chenge.
Kweli kabisa.Magu hawezi kumgusa Chenge.
..Lile ni joka la makengeza na ni mjanja wa mjini yule hawatamuweza ng'ooooMagu hawezi kumgusa Chenge.