Huyo ndio think tank wa chama tawalaHaahaahah, Mheshimiwa Lusinde, kama namuona jinsi atavyokuwa akichangia!
Duhh!!Huyo ndio think tank wa chama tawala
Kama bunge linalotarajiwa kujadili mambo hayo haliruhusiwi kuwa laivu,tuna nia njema?
Tunataka uwazi wa kisheria katika madini,lakini wanaojadili sheria hizo tumezuia wasiwe laivu!
Ni mwendelezo wa usiri katika mambo ya kitaifa!
Hata wabunge wa Ccm wenyewe wasiruhusiwe kujadili wote isipokuwa iwe wanasheria walio bobea wa vyama vyote na wawe nusu kwa nusu ili kutoa crime nzuri kwaajili ya Taifa letu.Kama bunge linalotarajiwa kujadili mambo hayo haliruhusiwi kuwa laivu,tuna nia njema?
Tunataka uwazi wa kisheria katika madini,lakini wanaojadili sheria hizo tumezuia wasiwe laivu!
Ni mwendelezo wa usiri katika mambo ya kitaifa!