HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,980
- 102,775
- Thread starter
- #121
Kwa uhalisia kama Serikali iliamua kuwekeza katika Serikali Mtandao haikupaswa teketeza zaidi ya Tril 3 kwa ajili ya ujenzi wa DodomaKulikuwa hakuna haja ya kuhamishia makao makuu ya serikali kwenda Dodoma.
Hii ilikuwa project ya anasa za kisiasa tu.
Tumetatua tatizo ambalo halikuwapo, wakati matatizo yetu mengi yaliyokuwapo mpaka leo hatujayatatua.
Ofisi za Wizara tu zimechukua Bilioni 600, hizo fedha zingejenga madarasa nchi nzima na kuondoa uhaba wa madarasa.
Msalato Airport bilion 300+
Hizo fedha zingejenga hospital, zahanati, vituo vya afya na kuondoa tatizo hilo kwa miaka 10 ijayo.
Bilioni 300+ za Ringroad zingetosha kure educate walimu wetu na kutengeneza mitaala mipya
Bilioni 100+ zilizojenga Makao Makuu ya Mahakama zingetosha kujenga vyuo vikuu vipya 2
Bilion 100+ zilizojenga Makao Makuu ya jeshi zingetosha kununua vifaa tiba vya hospital zote MRI, CT Scan, Xrays
Tril 1 ingetosha kujenga barabara za lami zaidi ya KM 500 ambayo ni sawa na barabara mpya kutoka Dar hadi Iringa
