Strong Durable
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 487
- 721
Ni kweli tunahitaji shule sio UMEKASILIA ni UMEKASIRIKA mimi nikiona mtu anachanganya "L" na "R" basi nguvu zinaisha.
Dunia nzima ni masikini.
Hata huko ulaya masikini wapo.
Hata serikali iseme bajeti yote ipelekwe kuondoa umasikini haitatosha hata miaka 100 ijayo.
Wacha vingine vifanyike
Hayo Ni Makosa ya Kiuandishi hata BBC CNN wanakosea Nenda Kwenye Point inaonekana Na Wewe Kuna Mrija unafyonza Mema ya Nchi Alaf unakuwa Mkali inabidi tule Wote Au Tujenge Nchi Yetu Sote ????Ni kweli tunahitaji shule sio UMEKASILIA ni UMEKASIRIKA mimi nikiona mtu anachanganya "L" na "R" basi nguvu zinaisha..