Acha akina GSM na Manji wakwepe tu kodi. Na yeyote kwa nafasi yake acha akwepe tu kodi. Kama mambo yenyewe ndiyo haya.Ndio maana twasema tukwepe kodi kadri tunavyoweza maana kodi zetu zinatumika kwenye mambo yasiyo ya msingi
Waende cda.Wewe mpaka uambiwe?
Wapewe wenye uhitaji bure,hapo Dodoma vijana wangapi hawana hata plot.
Shangazi kama shangazi.![emoji23]Waende cda.
Wewe kijana kwenu wapi?
Jambo ka msingi lipi ambalo wewe umelifanyia serikali yako?Ndio maana twasema tukwepe kodi kadri tunavyoweza maana kodi zetu zinatumika kwenye mambo yasiyo ya msingi
hadi vifungashio vinaitwa mifuko ya maguful ila bado hawaridhikiUkiona mtu yoyote katia neno kwanini pesa hizo zisiende kwenye elimu ujue mwisho wake wa kufikiri umeishia hapo. Ngoja nikujibu kwa urahisi tu, Ikulu ya nchi ni hazina ya nchi na itabaki hata vizazi vinayokuja ni muhimu kuwa na sehemu bora ya kufanya shughuli za serikali wala sio kupoteza pesa kwa mawazo yako maana ni kama kusema budget ya nchi 100% iende kwenye shule tu huu ni ujinga kila kitu kinapangwa kwa budget na elimu ina budget yake. Ukisema kodi kwani uliambiwa kodi yako inaongezake kulipia ujenzi? acheni gubu hata wewe unaweza kumuita mtoto wako Magufuli. Stand Magufuli, Mji wa serikali Magufuli na mpaka ikulu Magufuli imekuwa nini tena, Nyerere jina lake liko kila sehemu mimi naona tubadilishe nchi jina tu kutoka Repuclic of Tanzania to Republic of Nyerere au Magufuli
Nadhani ni muda tumpate Rais asiye na jinsia maana Magufuli alingusha wanaume uyu kaangusha wanawake sasa tumpate asiye na jinsia ya kiume au ya kike nako tujaribu.Usiposema samia complex utahalishaje upigaji wa fedha? Yaani hapo upigaji umehalishwa. Ni mwendo wa kula tu.
Huyu mama kwakweli anawaangusha sana wanawake wenzie kiuongozi.
Ajira mkuuHatari sana what for? Wangeweka tu kiwanja cha helicopter ingekuwa poa tu. Afrika tuna shida mahala viongozi wanataka kufanya mambo kama donor country tena unakuta donor country hata hawafanyi hivyo. Just imagine ni pesa kiasi gani itatumika kuitunza hiyo complex kwa kila mwezi?
Jambo lipi ambalo silo la msingi limetumiwa kwa kodi zetu?Ndio maana twasema tukwepe kodi kadri tunavyoweza maana kodi zetu zinatumika kwenye mambo yasiyo ya msingi
ChefuuuuuuUkiona mtu yoyote katia neno kwanini pesa hizo zisiende kwenye elimu ujue mwisho wake wa kufikiri umeishia hapo. Ngoja nikujibu kwa urahisi tu, Ikulu ya nchi ni hazina ya nchi na itabaki hata vizazi vinayokuja ni muhimu kuwa na sehemu bora ya kufanya shughuli za serikali wala sio kupoteza pesa kwa mawazo yako maana ni kama kusema budget ya nchi 100% iende kwenye shule tu huu ni ujinga kila kitu kinapangwa kwa budget na elimu ina budget yake. Ukisema kodi kwani uliambiwa kodi yako inaongezake kulipia ujenzi? acheni gubu hata wewe unaweza kumuita mtoto wako Magufuli. Stand Magufuli, Mji wa serikali Magufuli na mpaka ikulu Magufuli imekuwa nini tena, Nyerere jina lake liko kila sehemu mimi naona tubadilishe nchi jina tu kutoka Repuclic of Tanzania to Republic of Nyerere au Magufuli
Hivyo vitu vyote ulivyovitaja si unavitumia? Kama unaona tabu kuvilipia kodi usivitumie, simpo.Nalipa kodi kupitia luku, salio, bank, miamala
Arafu pesa ya kujengea vyoo vya shule mkaombe Kwa mabeberu;Kwani kuna mahali serikali imesema imekosa hela ya kuendeshea elimu? Ni sahihi kuwa na eneo kubwa la Ikulu maana pale Dar kuna mpaka wanyamapori sasa kwa Ikulu ya Chamwino kuwa na eneo kubwa itakuwa rahisi hata kuanzisha hiyo game ranch kwa ajili ya wageni wetu! Eneo lina ukubwa wa ekari elfu 8 sasa wakigawa hata ekari elfu 6 au 7 kwa ajili ya game ranching itapendeza sana!
Nadhani ni kwaajili ya mikutano ya ccmHiyo complex ya watu 2000 au 3000 itakua inafanya kazi gani!? Yaani watu hao watakua wanaingia ikulu na kutoka au ni kwaajili gani
Mama anarazimisha kuacha legacy; eti Samia complex;Kila mtu anataka jina lake liwepo hapo tena kwa kujipigia chepuo mwenyewe mara Zanzibar mara Nungwi golf courts.
Hivi mfano Nyerere aliacha vitu gani vikiitwa kwa jina lake alipokuwa madarakani? Barabara?
Vingi vimepewa jina lake na watu Baki akiwa mstaafu au marehemu.
JNIA yenyewe aliiacha ikiitwa DIA hadi 2005.
BTW:Eneo lenyewe wamehodhi kubwa mno ekari 8,473 zote za nini si heri wangewapa vijana wa maigizo ya kilimo ya BBT ya Bashe.
= analazimisha.anarazimisha
Kifupi IKULU NI MBAYAAAA,ikulu inakosa amoled view 2023?! uongoJe, kuna ulazima wa yafuatayo au ni kupoteza pesa za walipa kodi?
NB: Kama wanatimiliza Ndoto ya Nyerere kwanini Complex isiitwe Nyerere Complex au iitwe aliyeanzisha Ujenzi Magufuli Complex. Kwanini iitwe Samia Complex?
- Kujenga Njia ya Kuruka Ndege Ikulu.
- Ujenzi wa Viwanja vya Golf.
- Ujenzi wa Complex ya watu 2000-3000
Je, Watanzania tuna kodi kiasi hicho kujenga Ikulu ya namna hiyo? Kuna ulazima gani?
Je, nani mnufaika wa hayo yote?
Kwanini hizo pesa zisiende kwenye elimu ya awali na msingi maana huko ndo chanzo cha madudu ya huku juu?
Mawazo ya kimamasikini hayo.