IKULU: Kikwete si mmiliki DOWANS!

IKULU: Kikwete si mmiliki DOWANS!

Taarifa ya hasira ya Salva Rweyemamu kwa sisi Wa TZ

""Kama Dkt. Slaa anataka kweli kujua wamiliki wa Kampuni ya Dowans, basi atafute ukweli huo;Mheshimiwa Rais Kikwete hahusiki na Kampuni ya Dowans wala na kampuni nyingine yoyote ya kibiashara"".

Tunamshukuru sana Dr Slaa kututajia kuwa JK ndiye mmiliki wa Dowans atakayelipwa zaidi ya bilion 185 hela zetu sisi walipa kodi;Kama Salva na wenzako mnajua kuwa mmiliki wa Dowans sio JK basi ndiyo nafasi yenu nzuri kututajia majina ya wamiliki hao ili JK awe huru kutoka kwenye kashfa hii!Kwa nn CCM na serikali yake inakuwa bubu kutaja tu mmiliki wa kampuni hewa ya Dowans?

By the way;Mlio karibu na Salva na kwa aina yake hii ya uandishi usio na ethics;huyu Salva huwa anavuta bangi?
 
Kwanini tusianzishe na kijarida cha ku-document haya mambo na maoni yetu then tuyagawe mitaani? nadhani tutawasaidia wengi! hata kama baadhi yetu wanasema ni uzushi, wakumbuke hakuna uzushi usio na ukweli! JK atatuangamiza! full stop
 
Salva Wewenyamu, tunakuuliza kuna tofauti gani kati ya Slaa unayemsingizia kuwa mwongo na Ikulu mathalani wewe, unayeongeza 88 billion kwenye malipo ya Dowans? Hukumu inataja 97 billion ,hizo zingine zimeongezeka kutoka wapi??
WAONGO NYIE NA SI SLAA. Unatoa mitusi ya kilevi cha madaraka unafikiri Watanzania wa leo wana roho ya woga.
Pole,hakuna waoga kama wewe maana hata majibu yako yanaonyesha woga mtupu.wait and see!!
 
hivi ikulu nako kunawaimba taarabu watu wa mipashoooo!!!!!!!!!!!!!!!!! mbona hatali si wakajiunge na jahazi kwa mzee yusufu, dah hii serikali mbona aibu sana watu wanakurupuka tu kutoa hoja bila hata kufikiria yani tabu huku mara KOMBANI huku mara WAREMA kila mmoja anatoka kivyake kama hukakuna sytem .

baada ya kujibu hoja ya DR yeye anatoa mipasho ,matusi ,kejeli ..... dah hii nchi sasa ndo inakwisha polepole . toa majibu DOWANS ni mali ya nani na si kuja kutoa mipasho kama waandishi wa magazeti ya udaku wakati ni taarifa ya ikulu toka kurugenzi ya mawasiliano ikulu.
 
Mhh kazi ipo kama iko kuna mipashoo sijui kama tutafika
 
Muongo lazima umsute kwa lugha kali, Slaa kuitwa kidhabidhabina si tusi. Kidhabi maana yake ni muongo na dhabina wa waongo. Kwa hiyo, kidhabidhabina ina maana muongo wa waongo. Au huoni uongo wake wa kuwazido waongo?

Leo kafikia mpaka kudanganya kuwa Rais ndie mmiliki wa Dowans? Haaa, anashangaza kidhabu mkubwa huyu.

Kikwete anahusika na wizi wa EPA, IPTL, Richmond/Dowans uchakachuaji wa matokeo ya uchaguzi. Baba yako akiwa mwizi atabaki baba lakini hataheshimika kamwe hadi wewe mtoto utakapolalamikia aibu anayoiletea familia. Wewe ni mtoto wa mwizi unatetea wizi wa baba yako. Sawa. Lakini haifuti ukweli kuwa JMK ni mwizi na wewe unajua. Kama sivyo mbona asimshitaki Dr. Slaa aumbuke mahakamani. Au wewe na Salva (Mnyarwanda) kwa niaba yake mkadai kukashfiwa mahakamani.
 
Yaani baada ya kushindwa URAIS, kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki, Slaa na wapenzi/wanachama wake wamechanganyikiwa kabisa, hawajui wafanyalo wala wafikirialo. Kila siku ni majungu, fitina, uzushi, uzabizabina, unafiki. Kweli CDM si chama cha kuliongoza taifa hili kamwe, Mungu tuepushe nacho, amen !
Sijui nikuite jina gani, ila una akili sawa na waliokutuma, humu hatuko ki CDM, Deep Green, CUF, UPDP, PPT,UMD n.k, we are Tanzanians wenye uchungu na nchi yetu. Wanaokwiba na mnawatetea hata nashindwa kukuelewa, ugomvi wetu uko against mafisadi na wezi, sasa ***** mmoja unavyokurupuka na kuongea vapour unatia kinyaa kupita maelezo, mambo yya ushabiki wa kisiasa yanaishia kwenye kuvaa tshirt na kofia
 
Kwa kuwa Dr Slaa ni mpinzani, serikali ya CCM kamwe haiwezi kumkubali Slaa hata kama wanajua asemacho ni kweli. Sasa Slaa ametoa kaduchu tu wamepanua mdomo sana; akija na makaratasi wamebakiza nini cha kusingizia? Maana Slaa anaposema kitu ni busara zaidi kutafakari kabla hujakataa, aliyezomoka huenda ni Rweyemanu na sio Slaa. Yetu machikio na macho.
 
Muongo lazima umsute kwa lugha kali, Slaa kuitwa kidhabidhabina si tusi. Kidhabi maana yake ni muongo na dhabina wa waongo. Kwa hiyo, kidhabidhabina ina maana muongo wa waongo. Au huoni uongo wake wa kuwazido waongo?

Leo kafikia mpaka kudanganya kuwa Rais ndie mmiliki wa Dowans? Haaa, anashangaza kidhabu mkubwa huyu.

Mbona yule mgombea ubunge aliyesema asiyefunzwa na mama yake ........... Aliambiwa ametukana?? Na kama sikosei alikamtwa kwa kosa hilo, wakati alikuwa anatumia methali kuwasilisha ujumbe.
 
Jamani mbona kila baya awe anasukuwa tu JK, tatizo ni nini hasa ndugu zetu?

Hii sasa inafika mahali mpaka inaudhi kweli. Ndiyo maana tangu sasa bora ikulu iwekiwaporomosheeni matusi ya nguoni hivyo ndiyo mkome na umbeambea wenu huo.
Umeongea ushuziii............
 
Wameibuka haraka sana katika kutetea, lakini kutwambia nani ni mmiliki/wamiliki wa Dowans inakuwa kizungumkuti. Kazi Kweli kweli!


Kama kawaida, ukweli uko wazi na hali itaendelea kuwa hivyo hivyo Hakuna atakayewafanya kitu. Tutaendelea kulalamaa weee, next week au next month hata Slava mwenyewe utasikia huyo majuu ziarani na JK, hatasema Dowans ni ya nani. Tunaendelea kuwa nchi ya wajinga, na wataendelea kutuona wajingakila siku.

Zamani wizi ulikuwa siri siku hizi uko wazi kabisa, na hakauna kinachofanyika. This is Tanzania.
 

Hizi email zimeongelewa toka enzi zile 2005/ 2006, mara ikulumawasiliano@yahoo.com, ikulu@hotmail.com, sasa ni hiyo rweyemamu.salvator@gmail.com kwa mawasiliano kutoka the highest office in the country and yet budget ya IT ya ikulu ni mamia ya mamilioni.

Hivi kesho keshokutwa ikiibuliwa email yoyote ya ajabu ajabu kutoka same source (Which is very easy) mfano rweyemamu.salvator@gmail.com salva ataikataa? Can he send an email from hiyo gmail kwenda say kwa waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini, au secretary of state Clinton? Kwa trend hii very likely amewahi kufanya hivyo.

Halafu eti JK anasema ndani ya 5yrs anataka kila mwanafunzi awe na computer! Kwa nini asianzie huko huko ikulu kuhakikisha hawa akina salva wanaelewa IT?
 


Hizi email zimeongelewa toka enzi zile 2005/ 2006, mara ikulumawasiliano@yahoo.com, ikulu@hotmail.com, sasa ni hiyo rweyemamu.salvator@gmail.com kwa mawasiliano kutoka the highest office in the country and yet budget ya IT ya ikulu ni mamia ya mamilioni.

Hivi kesho keshokutwa ikiibuliwa email yoyote ya ajabu ajabu kutoka same source (Which is very easy) mfano rweyemamu.salvator@gmail.com salva ataikataa? Can he send an email from hiyo gmail kwenda say kwa waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini, au secretary of state Clinton? Kwa trend hii very likely amewahi kufanya hivyo.

Halafu eti JK anasema ndani ya 5yrs anataka kila mwanafunzi awe na computer! Kwa nini asianzie huko huko ikulu kuhakikisha hawa akina salva wanaelewa IT?

hivi salva anaweza kusema kama werema .... kwamba hayo ni kwa mtazamo wake...... ?
 
Salva na genge lako hata mngetumia lugha ya majini mnayofuga hapo ikulu mnajisumbua tu, sisi tunamjua JK na washikaji zake RA na EL ndiyo wabaya wetu na ndiyo wanalipwa bilion zetu 185.Fanya mfanyalo nyie ni wezi tu.
 
Originally Posted by Mfamaji Salva Rweyememu:

1. Alikuwa moja wa right wings wa kumwingiza JK Ikulu 2005 bila kumsahau Kinara wao Rostam Aziz wakitumia hela za EPA.
2. Baada uchaguzi kuisha hakupata cheo. Akamwandikia Rostam Aziz akilalama kusahauliwa. Ref. Thread iliyowahi kutolewa hapa. Matokeo yake akapewa Ukurugenzi wa mawasiliano Ikulu. Before that aliwahi kufanya kazi Ricmund as public relations Officer.
3. Rostam Azizi, JK na Lowasa ni best friends in Business. The trio are the owners of Richmund a.ka Dowans.
4.Salva Rweyememu aka Boot leaker, amepanick baada ya kugundua siri imefichuka. Remember, Kabla ya hapa JK hakuwahi kutajwa explicilty kuwa ndio mmilki wa Dowans so everything was cool for him(JK) though alimtosa EL katika harakati za kuficha ukweli.
5. Hatushangai the Boot leaker kukurupuka na lugha za uswazi katika hili sasa hivi. Hapo brain haifanyi tena kazi ni mdomo tu. When you are angry or paOriginally Posted by Mfamaji Salva Rweyememu:

1. Alikuwa moja wa right wings wa kumwingiza JK Ikulu 2005 bila kumsahau Kinara wao Rostam Aziz wakitumia hela za EPA.
2. Baada uchaguzi kuisha hakupata cheo. Akamwandikia Rostam Aziz akilalama kusahauliwa. Ref. Thread iliyowahi kutolewa hapa. Matokeo yake akapewa Ukurugenzi wa mawasiliano Ikulu. Before that aliwahi kufanya kazi Ricmund as public relations Officer.
3. Rostam Azizi, JK na Lowasa ni best friends in Business. The trio are the owners of Richmund a.ka Dowans.
4.Salva Rweyememu aka Boot leaker, amepanick baada ya kugundua siri imefichuka. Remember, Kabla ya hapa JK hakuwahi kutajwa explicilty kuwa ndio mmilki wa Dowans so everything was cool for him(JK) though alimtosa EL katika harakati za kuficha ukweli.
5. Hatushangai the Boot leaker kukurupuka na lugha za uswazi katika hili sasa hivi. Hapo brain haifanyi tena kazi ni mdomo tu. When you are angry or panicked , mouth works faster than the brain. And that is a typical foolish behavior of any thief when he is caught pants down.

Ukiwa kachero this could be the best time to squeeze the beans out of him, although you do not need any other proof because the reaction itself has spoken out the truth. JK is the owner of Dowans. Period
nicked , mouth works faster than the brain. And that is a typical foolish behavior of any thief when he is caught pants down.

Ukiwa kachero this could be the best time to squeeze the beans out of him, although you do not need any other proof because the reaction itself has spoken out the truth. JK is the owner of Dowans. Period

.......Mfamaji!

Hats off........! uchambuzi mzuri sana unaotusaidia kuelewa kwa nini huyu bwana mdogo anatokwa na mapovu hovyo hivi.......!
 
Kilichoandikwa na Gazeti la Tanzania Daima la 2 Jan 2011 hiki hapa (nimenukuu sehemu inayohusu tanesco na Dowans)

Slaa: JK anamiliki Dowans
• Asema hana nia ya kuunda Katiba mpya
na Mwandishi wetu


"…..Katika hatua nyingine, Dk. Slaa alisema ameshangazwa na kitendo cha Rais Kikwete kushindwa kufafanua kuhusu suala la kulipwa kwa Kampuni ya Dowans sh bilioni 185 na Shirika la UmemeTanzania (TANESCO).
Alisema fidia hiyo iliyoamriwa na mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya biashara (ICC) hivi karibuni kuwa TANESCO inapaswa iwalipe Dowans fedha hizo baada ya kuvunja mkataba wa kununua umeme.
Alisema kimsingi uvunjwaji wa mkataba huo na sakata zima ni uzembe ambao unapaswa uwekwe wazi na watu wachukuliwe hatua lakini Rais Kikwete haonyeshi kushtushwa na jambo hilo.
Alisema kutokana na majibu ya kiongozi huyo inaonyesha kuwa naye ni sehemu ya kampuni ya Dowans.
Alisema Rais anaonyesha udikteta kwa kuamua kulibeba shirika la umeme nchini (TANESCO) huku wananchi ambao ni walalahoi wakiendelea kunyongwa na upandaji wa gharama hizo.
"Hasemi kuwa kitendo cha kulipa kampuni hiyo kimesababishwa na uzembe wao wenyewe kwa kuleta mitambo ya Richmond iliyozaa Dowans huku yeye akiwa sehemu ya kampuni hizo ameamua kuficha uovu wao" alieleza.
Alisema wataendelea kuhamasisha maandamano pamoja na kupinga gharama kwa kuwa vyama vya upinzani havikusajiliwa kwa Rais bali vimekuwepo kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha vinakataa uozo unaofanywa na serikali.
Dk. Slaa alisema Rais Kikwete amesahau hali ngumu inayowakumba wananchi imetokana na maamuzi mabovu yaliyoanzishwa na wanasiasa wenzake kwa kukubali kufanya mchakato wa IPTL.
"Eti Rais Kikwete anasema upandaji wa umeme ni suala la kibiashara na wanasiasa wasilizungumzie kisiasa inawezekana hana uchungu na Watanzania wanaoshindwa kununua umeme kwa ajili ya kuendeleza biashara zao" alisema.
Alisema vyama vya upinzani vina haki ya kujadili masuala mbalimbali na siyo kama anavyodai kufanya hivyo ni kuendeleza malumbano na ikiwa hataki vyama vifanye hivyo basi hana budi kuvifuta. ….."

Utaona basi kuwa Salva amejihusisha zaidi kujibu kichwa cha habari badala ya content ya habari yenyewe.
Kwa kuwa Dowans imesababisha matatizo, kusema JK ni sehemu ya Dowans maana yake ni sehemu ya tatizo; kwa kuwa ameshindwa kuwa sehemu ya suluhu kwa kukaa kimya. Tumieni vizuri elimu yenu ya fasihi.
 
Haya tuambieni,

nani mmiliki/wamiliki wa dowans????????? Mbona swali ni rahisi sana?? Kwa nini wanatafuta majibu magumu. Ok jk hahusiki, sawa, nani sasa.

Ofisi za brela ziko hapo mjini si watusaidie ili raisi wetu asiwe anaguswa bila sababu????
 


Hizi email zimeongelewa toka enzi zile 2005/ 2006, mara ikulumawasiliano@yahoo.com, ikulu@hotmail.com, sasa ni hiyo rweyemamu.salvator@gmail.com kwa mawasiliano kutoka the highest office in the country and yet budget ya IT ya ikulu ni mamia ya mamilioni.

Hivi kesho keshokutwa ikiibuliwa email yoyote ya ajabu ajabu kutoka same source (Which is very easy) mfano rweyemamu.salvator@gmail.com salva ataikataa? Can he send an email from hiyo gmail kwenda say kwa waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini, au secretary of state Clinton? Kwa trend hii very likely amewahi kufanya hivyo.

Halafu eti JK anasema ndani ya 5yrs anataka kila mwanafunzi awe na computer! Kwa nini asianzie huko huko ikulu kuhakikisha hawa akina salva wanaelewa IT?

Mkuu Nyambala,

Haya mambo tumekuwa tukiyasema sana sana kuhusu credibility & security ya hizi email zenye ....gmail, yahoo, raha etc etc... tena kutoka a very sensitive governmental insistitution lakini hawa jamaa sijui kwa sababu wanazojua wao pengine kwa maksudi mazima au kwa malengo ya kifisadi wamekuwa wakiyafungia kioo maoni haya!

Sasa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu ya Tanzania kucommunicate taarifa zinazomhusu rahisi wa nchi through GMAIL? haya ni matope.....na pengine hatukutakiwa kurely kabisa on this document kama si kuipeleka physically na kwenye vyombo vya habari.....is a shame!
 
Mkuu Nyambala,

Haya mambo tumekuwa tukiyasema sana sana kuhusu credibility & security ya hizi email zenye ....gmail, yahoo, raha etc etc... tena kutoka a very sensitive governmental insistitution lakini hawa jamaa sijui kwa sababu wanazojua wao pengine kwa maksudi mazima au kwa malengo ya kifisadi wamekuwa wakiyafungia kioo maoni haya!

Sasa Mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu ya Tanzania kucommunicate taarifa zinazomhusu rahisi wa nchi through GMAIL? haya ni matope.....na pengine hatukutakiwa kurely kabisa on this document kama si kuipeleka physically na kwenye vyombo vya habari.....is a shame!


Mimi sioni tatizo kama

  • kwa securty na reliabilty analysis za haraka haraka. @gmail.com, @yahoo account inaweza kuwa relibale kuliko @simbanet, @catsnet an raha.co, au hata @ikulu.com . Japo kwa image sio nzuri butukweli ki-usalama they can be the best.
 
Back
Top Bottom