Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,514
Mkuu ulitaka afanyeje kama aliepaswa kutoa amri hizo kashindwa! Msimuonee tuu huyu jamaa Unga bwana na muhimu kwa watoto wake. na kwani yeye anapenda kufa???Hivi huwa kazi yake, kikatiba, ni nini? Kuna wakati anatoa amri Kama amiri jeshi mkuu!